Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Zitto Kabwe katika twiter and Face Book "just finished my rally in Kahama please ignore the malicious rumour going round that I've been involved in an accident am alive and well"
Amepikea sms isemayo, "Poleni wapinzani wenzangu kwa kumpoteza zito kabwe kwa ajali ya gari."..
My Take: Hii si mara ya kwanza na si dalili nzuri, vyombo vya dola viwe makini visiwe chanzo cha vurugu katika nchi hii, usalama wa wananchi na viongozi wa vyama vyote, CCM na wapinzani uko mikononi mwao kwa sasa.
Amepikea sms isemayo, "Poleni wapinzani wenzangu kwa kumpoteza zito kabwe kwa ajali ya gari."..
My Take: Hii si mara ya kwanza na si dalili nzuri, vyombo vya dola viwe makini visiwe chanzo cha vurugu katika nchi hii, usalama wa wananchi na viongozi wa vyama vyote, CCM na wapinzani uko mikononi mwao kwa sasa.