Wo shi niubi
JF-Expert Member
- Aug 14, 2015
- 1,268
- 1,652
Kwa nini tuongee nao wakati wameshachukua hatua tayari? tunachotakiwa Tanzania ni kuchukua hatua tu hakuna haja ya kuongea nao, serikali ipunguze idadi ya ndege zao ( KQ) kuingia nchini basi ,route ya kuingia nchini iwe mara tatu tu kwa siku au mara mbili. Wakenya ni vichwa maji sana,ni vigumu kukaa na kuongea nao bila vitendo. Achana na issue za maziwa ,hili la ndege tutakuwa tumewapata ipasavyo.