Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!
Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap
una utapiamlo wa ubongo
My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!
Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap
My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!
Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap
Mwanzo nilidhani huwa humsikilizi na kumfuatilia harakati zake, but maadam umekiri kuwa unamsikiliza sana... basi ni ama huwa humwelewi au unamwelewa vibaya....My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!
Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap
Duh!... hapo mwana umeenda chaka... unaposema umeme tunapata unamaana we mbongo mwenzetu una uhakika wa umeme wa kudumu? unaishi mitaa ipi?... magogoni?...Angalia anavyotafuta umarufu??
"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika "Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."
My take: this is cheap publicity you are after!!!
Umeme tunapata unataka nini zaidi?
Duh!... hapo mwana umeenda chaka... unaposema umeme tunapata unamaana we mbongo mwenzetu una uhakika wa umeme wa kudumu? unaishi mitaa ipi?... magogoni?...
Hata Ze Big Boss mwenyewe shidhani kama anashare mtazamo wako...
Tatizo la umeme bado lipo mkuu, na mapungufu kwenye mikataba ya manunuzi ya umma bado...
Wakati wote namuona zitto km kijana ndumila kuwili sn. Anatumiwa sn na ccm kuvuruga cdm ila anapata taabu kwa sbb inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali. Atakuja kupotea vibaya sn kwenye ramani ya siasa
Wakati wote namuona zitto km kijana ndumila kuwili sn. Anatumiwa sn na ccm kuvuruga cdm ila anapata taabu kwa sbb inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali. Atakuja kupotea vibaya sn kwenye ramani ya siasa
Angalia anavyotafuta umarufu??
"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika "Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."
My take: this is cheap publicity you are after!!!
Umeme tunapata unataka nini zaidi?
topic hii na allegations zako haviendani kabisa!! unaonekana una gubu, na wivu mkali sana........na uko tayari kufanya lolote ili mradi chuki zako kwa zito wengine nao wazitimize!
unatakla uvuliwe nguo?? nipe mfano mmoja tu ambao zito aliivuruga cdm chanzo kikiwa ni CCM!! ukishindwa kutoa mfano, nakupiga masingi!
anyway, inaonekana una insurance ya wanasiasa kukaa kwenye siasa!! siasa siyo professional ina msimu/////ni msimu wa Zito!!! leave him alone.......wenye kupigana na maisha hawana wivu wa kijinga kama wako!
"By Waberoya
Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zitto, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na Omar Ilyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC
Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.
Mtazamo huu umenifanya nimpende Zitto na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zitto amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.
Zitto ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. Omar Ilyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.
Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya Omar Ilyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zitto!
Tuendelee: Role model wa Zitto ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.
Tie, cord, umoja, Urafiki wa Zitto, Ridhwan, Omar Ilyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.
Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.
Si ajabu Zitto kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zitto, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!
Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE' na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.
Kilichonifanya nijiulize je what makes Zitto na JK kuwa marafiki? Je Zitto na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!
Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zitto kuwa inclined kwa JK, Salim na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don't conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zitto are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zitto, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni
Nani anayejua Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?
Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zitto kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?
I mean we should be careful na watu kama Zitto yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.
That's bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!
That said, I am just thinking
Wakati wote namuona zitto km kijana ndumila kuwili sn. Anatumiwa sn na ccm kuvuruga cdm ila anapata taabu kwa sbb inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali. Atakuja kupotea vibaya sn kwenye ramani ya siasa
Jamani, Tanesco stands for Shirika la ugavi wa umeme, kwahiyo mgao ni kitu inherent, inatakiwa pasipokuwepo mgao ndio tushangae.
Huyu ndio alikuwa waberoya wa ukweli! Haya maandishi anatamani yafutike lakini wapi!Kuanzia lini umekua mtetezi wa zitto???kwa tabia za zitto ulizowahi kutuwekea hapa huku nyuma unadhani anaweza kubadilika?mimi binafsi sidhani labda uje uandike tena upya kufuta kile ulichowahi kukiandika huko nyuma kuhusu zitto otherwise wengine tutakudharau na kudharau chochote utakachojaribu kuchangia humu.Kwa ambao hawakupata bahati ya kukisoma ulichowahi kukiandika kuhusu zitto nitakinukuu hapa chini kwa faida yao ili nao wakujue sawasawa na aina ya misimamo yako!