ZITTO ataka turudi GIZANI

My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!

Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap

una utapiamlo wa ubongo
 
My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!

Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap

Wewe ndio unatafuta cheap publicity hapa JF,
If ZITTO is so cheap, why can't you buy him awe upande wenu?
 
My point! Asitafute cheap publicity aende akarekebishe vifungu kwa manufaa ya vizazi vijavyo kama wenzake mnyika na lisu!!

Namsikiliza sana ndio maana namwona so cheap
Mwanzo nilidhani huwa humsikilizi na kumfuatilia harakati zake, but maadam umekiri kuwa unamsikiliza sana... basi ni ama huwa humwelewi au unamwelewa vibaya....
Ebu tutajie top 10 yako ya wabunge wanaojituma kutafuta matatizo ya kudumu ya taifa hili kwa sasa kwa kutumia hoja za msingi na siasa zenye utaifa zaidi kuliko uchama...
No Zitto? ... oh my!!...
Binafsi, namwona Zitto kama MP wa taifa, si wa mwisho wa reli tu, na wala si wa cdm tu.:biggrin:
 
Zitto kaka kaza buti hadi kieleweke kama umefikia hapo nakuamini una nyeti za kufa mtu wakibisha Bungeni kama kawaida tutasemea Uzini au penginepo na nyeti zingine zitamwagwa hapa hapa JF .Achana na wagonjwa wa uoga an akili finyu kama wau .Una baraka zangu kijana mwaga hadharani .
 
Angalia anavyotafuta umarufu??

"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika "Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."

My take: this is cheap publicity you are after!!!

Umeme tunapata unataka nini zaidi?
Duh!... hapo mwana umeenda chaka... unaposema umeme tunapata unamaana we mbongo mwenzetu una uhakika wa umeme wa kudumu? unaishi mitaa ipi?... magogoni?...
Hata Ze Big Boss mwenyewe shidhani kama anashare mtazamo wako...
Tatizo la umeme bado lipo mkuu, na mapungufu kwenye mikataba ya manunuzi ya umma bado...
 
Duh!... hapo mwana umeenda chaka... unaposema umeme tunapata unamaana we mbongo mwenzetu una uhakika wa umeme wa kudumu? unaishi mitaa ipi?... magogoni?...
Hata Ze Big Boss mwenyewe shidhani kama anashare mtazamo wako...
Tatizo la umeme bado lipo mkuu, na mapungufu kwenye mikataba ya manunuzi ya umma bado...

Hapa tu nilipo sina umeme toka saa12 jioni huyu
kinini sijui anasema "tunapata umeme",...my foot
 
Wakati wote namuona zitto km kijana ndumila kuwili sn. Anatumiwa sn na ccm kuvuruga cdm ila anapata taabu kwa sbb inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali. Atakuja kupotea vibaya sn kwenye ramani ya siasa

topic hii na allegations zako haviendani kabisa!! unaonekana una gubu, na wivu mkali sana........na uko tayari kufanya lolote ili mradi chuki zako kwa zito wengine nao wazitimize!

unatakla uvuliwe nguo?? nipe mfano mmoja tu ambao zito aliivuruga cdm chanzo kikiwa ni CCM!! ukishindwa kutoa mfano, nakupiga masingi!

anyway, inaonekana una insurance ya wanasiasa kukaa kwenye siasa!! siasa siyo professional ina msimu/////ni msimu wa Zito!!! leave him alone.......wenye kupigana na maisha hawana wivu wa kijinga kama wako!
 
Hapa Mwanza mgao kila siku, cha kushangaza saa 4tu zakupata umeme kwa wastani wa kila siku.
 
Wakati wote namuona zitto km kijana ndumila kuwili sn. Anatumiwa sn na ccm kuvuruga cdm ila anapata taabu kwa sbb inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali. Atakuja kupotea vibaya sn kwenye ramani ya siasa

zitto is anaza level kaka.nyie maadui zake mnahangaika kunchafua.ht mimi najua kinachoendelea ndani ya cdm juu ya zitto
 
Angalia anavyotafuta umarufu??

"@zittokabwe: @JMakamba @jjmnyika "Ninaleta ombi kmt ya Bunge ya Nishati na Madini ifanye uchunguzi maalumu kuhusu zabuni ya uagizaji mafuta ya IPTL."

My take: this is cheap publicity you are after!!!

Umeme tunapata unataka nini zaidi?

Una****** aisee, hivi unadhani hasara tunayopata kwenye sekta ya umeme inaendana na umeme tunaopata?? Unaelewa maana ya cheap popularity?? Watu wengine sijui mliumbwa na udongo wa chooni!!

 
topic hii na allegations zako haviendani kabisa!! unaonekana una gubu, na wivu mkali sana........na uko tayari kufanya lolote ili mradi chuki zako kwa zito wengine nao wazitimize!

unatakla uvuliwe nguo?? nipe mfano mmoja tu ambao zito aliivuruga cdm chanzo kikiwa ni CCM!! ukishindwa kutoa mfano, nakupiga masingi!

anyway, inaonekana una insurance ya wanasiasa kukaa kwenye siasa!! siasa siyo professional ina msimu/////ni msimu wa Zito!!! leave him alone.......wenye kupigana na maisha hawana wivu wa kijinga kama wako!

Kuanzia lini umekua mtetezi wa zitto???kwa tabia za zitto ulizowahi kutuwekea hapa huku nyuma unadhani anaweza kubadilika?mimi binafsi sidhani labda uje uandike tena upya kufuta kile ulichowahi kukiandika huko nyuma kuhusu zitto otherwise wengine tutakudharau na kudharau chochote utakachojaribu kuchangia humu.Kwa ambao hawakupata bahati ya kukisoma ulichowahi kukiandika kuhusu zitto nitakinukuu hapa chini kwa faida yao ili nao wakujue sawasawa na aina ya misimamo yako!

"By Waberoya

Esoteric: Uhusiano wa Zitto, JK, Salim A.S, Ridhwan, Omar Ilyas & then some Islams?
Mimi nimekuwa nikimfuatilia mheshimiwa Zitto, tangu alipoongoza mapinduzi ya kupindua serikali ya DARUSO mwaka 2002/2003 wakisaidiana na Ridhwan Kikwete na Omar Ilyas. Kipindi hicho nikiwa mmoja wa mawaziri wa serikali, ambayo ilipona kupinduliwa. Na tumekuwa wote ndani ya bunge la UDSM-USRC

Mimi personally nimekuwa muwazi sana na mkweli katika kila kitu kinacholigusa taifa hili na hasa uhuru wa mawazo na maoni ambao umedhihirika kuwa watanzania wengi sio kuwa hawana, bali huwa wepesi sana kuamini mambo na ni waoga kuonekana wanapingana na hali iliyopo.

Mtazamo huu umenifanya nimpende Zitto na JF members wowote wale ambo huwa wanapenda kufikiria nje ya box, au another direction/angle. Zitto amekuwa akinifurahisha kwa kuleta changamoto za kuleta mawazo tofauti na kile ambacho wengi huwa wanafikiria.

Zitto ni kweli anapenda sifa, kama binadamu mwingine yeyote yule, ila unapotaka sifa kwa kusimamia haki na ukweli na hasa unapopigania haki basi sifa hii ni sifa timilifu na inapendeza. Omar Ilyas naye alikuwa mmoja wao wa wanaopenda sifa ila kwa sasa naona amekua kidogo, nadhani Salim A Salim amemkuza.

Si nia yangu niwaharibie hawa jamaa , ila ni hali yangu kueleza ninachowaza baada ya kuwafuatilia hawa watu tangu enzi hizo. Sijajua status ya Omar Ilyas kwenye issue nzima za udini, siwezi kumtuhumu, personally nimemuona ni mtu mzuri tu na anayependa wote pasi kujali udini ila bado ni rafiki wa Zitto!

Tuendelee: Role model wa Zitto ni Salim A. Salim, rais bora kwake yeye ni Kikwete, MD bora aliyewahi kumsema yeye ni Rashid Idrisa yule wa TANESCO.

Tie, cord, umoja, Urafiki wa Zitto, Ridhwan, Omar Ilyas ni mkubwa sana kuliko maelezo, hili group lililotaka kuipindua serikali ya Kayombo-DARUSO, ili wao wapate madaraka si tu ni la hatari bali la kuangaliwa sana. Ridhwan amekuwa akijitetea sana yeye anataka ku-practise sheria hili hali kutaka uongozi amekuwa akitamani tangu siku nyingi sana.

Ukiwa rafiki na Ridhwan umekuwa rafiki wa Kikwete!!! Huwezi kuwa adui wa JK ukawa rafiki wa Ridhwan, JK si tu anampenda Ridhwan kama motto, bali kama mwanaCCM mwenzie aliye tayari kulinda interest zao.

Si ajabu Zitto kuwa alikuwa mmoja wa wanakamati ya bunge ya kuchunguza madini, maana JK anampenda Zitto, ambaye ni rafiki wa Ridhwan!

Alichotamka Juzi ni mwendelezo wa kumuonyesha JK kuwa yuko ‘NAYE' na yuko mbali na chadema na kuwa yeye hakuwa na mawazo kama wanachadema wengine!!!. Hakuishia hapo tu bali alisema JK amefanya mengi Kigoma! Hivyo hakuona sababu ya kutoka nje ya bunge, kwa hiyo hakwenda kabisa, Huu ujumbe haukuwa kwa wananchi, ulikuwa unaenda kwa JK rafiki yake! Hata kama JK kafanya mambo mengi huko jimboni kwake Kigoma ni wajibu wake kama rais na haikuwa zawadi.

Kilichonifanya nijiulize je what makes Zitto na JK kuwa marafiki? Je Zitto na JK walikuwa wanajuana kabla ya JK kuwa rais? Definitely Yes!

Je swali gumu na baya ambalo halina ushahidi ni je Zitto kuwa inclined kwa JK, Salim na kuwapenda baadhi ya viongozi wa kiislam je ni mdini?..........I mean chunguzeni hili. May be not! Kindly don't conclude! What Salim teaches Zito?? Salim is CCM, is Salim and JK close friends? Cause Ommy and Zitto are close friends, Ooh! Ommy ni personal assistant wa Salim, Nauliza Kama Ridh, Zitto, Ommy ni marafiki then Salim and JK ni maadui? Find out please. However, we all know JK ni mdini, maana alianza harakati za udini tangu akiwa UDSM miaka hiyo….na hili fuatilieni

Nani anayejua Zitto ana mtambo wa kusaga kokoto na alipata tender ya barabara ku-supply kokoto? Is he defending his interest indirectly?

Au ni kuwa ni great thinker ambaye anaishi kwa falsafa zake ambazo hatuzijui! Je mnafikiri Zitto kuwaambia waandishi wa habari yaliyojiri ndani ya chadema alikuwa hajui watu watamrudi? Who is greater to him? JK, wananchi wake Kigoma, mali au?

I mean we should be careful na watu kama Zitto yes they are bright, mmh! But they might be dangerous for the opposition existence. But we should examine him carefully and not judge him. Nimegusia tu swala la uislam maana mpaka leo kuna baadhi ya waislamu wanaofikiri kuwa wanaiweza kuigawa nchi hii kidini, na kuna wakristo wanaofikiri wanaweza kuigawa nchi hii kidini.

That's bringing another bitter question how far do we believe these opposition leaders? I mean all!

That said, I am just thinking
 
Uko wasa mkuu, kuna wengine wanatuona kuwa watanzania wote ni wavivu wa kufikiri, hivi huyu jamaa amekuwa ndo afisa habar Tanesco, dada Badra? Acheni umbeya na ushabiki kwenye masuala yanayotuumiza watanzania.
 
Wakati wote namuona zitto km kijana ndumila kuwili sn. Anatumiwa sn na ccm kuvuruga cdm ila anapata taabu kwa sbb inteligensia ya cdm ni zaidi ya ile ya serikali. Atakuja kupotea vibaya sn kwenye ramani ya siasa

wewe ni mkwe wa mbowe?
Unarinda utawala wa kifalume acha democrasia itawale ndani ya cdm na wala si hisia zako.
 
wewe ni mkwe wa mbowe?
Unarinda utawala wa kifalume acha democrasia itawale ndani ya cdm na wala si hisia zako.

na ww umeoa kwa nani? Hoja hapa ni ZITTO kudandia hoja nyepesi!! acheni ushabiki jadili hoja
 
tatizo la Zitto hapo ni nini ?
Gubu si zuri mnyonge mnyongeni haki zake mpeni Zitto anapiga mzigo na kama kuna makosa anafanya basi ni ya kibinadamu sana na yasichukuliwe serious kihivyo

Sote tukumbuke kuwa ktk ujenzi wa CHADEMA huwezi kumuondoa Zitto kwenye list mkuu Uwe balanced

FF mwenyewe ana mkubali
 
Kuanzia lini umekua mtetezi wa zitto???kwa tabia za zitto ulizowahi kutuwekea hapa huku nyuma unadhani anaweza kubadilika?mimi binafsi sidhani labda uje uandike tena upya kufuta kile ulichowahi kukiandika huko nyuma kuhusu zitto otherwise wengine tutakudharau na kudharau chochote utakachojaribu kuchangia humu.Kwa ambao hawakupata bahati ya kukisoma ulichowahi kukiandika kuhusu zitto nitakinukuu hapa chini kwa faida yao ili nao wakujue sawasawa na aina ya misimamo yako!
Huyu ndio alikuwa waberoya wa ukweli! Haya maandishi anatamani yafutike lakini wapi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom