Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Mh.Zitto ni bora ukajisikia aibu kidogo japo unyamaze kwa kipindi tukusahau kidogo.Maana sasa unaonekana kama yule MPIGA FILIMBI WA HAMELINI WA ENZI HIZO.Kumbuka watanzania wa leo si wa mwaka 2005 wakati unaingia ubungeni, kwa sasa wanakushangaa unavyojidhalilisha, waachie watu wakupime wataongea tu na kutoa kama uko sawa au la .
Zitto Unatakiwa uige ustaarabu wa kunyamaza kama wa Dr.W.P.Slaa, yeye kanyamaza kawaachia watanzania wampime.Matokeo ya ukimya wa Dr.Slaa umeyashuhudia mwenyewe, kila kukicha achukua NISHANI na pongezi, sasa wewe umebaki kupiga kelele utadhani hujaenda shule.
ZITTO sasa tunakufananisha na Makamba na mgeja
Zitto Unatakiwa uige ustaarabu wa kunyamaza kama wa Dr.W.P.Slaa, yeye kanyamaza kawaachia watanzania wampime.Matokeo ya ukimya wa Dr.Slaa umeyashuhudia mwenyewe, kila kukicha achukua NISHANI na pongezi, sasa wewe umebaki kupiga kelele utadhani hujaenda shule.
ZITTO sasa tunakufananisha na Makamba na mgeja