ni nani kakuambia hakuondoka vizuri!! Kwani kujiuzulu ni kubaya ????kama ni cha kaskazini mbona wabunge wanatoka mbeya kigoma kwa tiketi ya hicho cha kaskazini??????????????kwa hoja ya utumishi serikalini, mgombea wetu 2010 hakuwa nayo. Slaa kafanya kazi kanisani na bahati mbaya hakuondoka vizuri katika utumishi wa bwana. Labda tubaki na msimamo wetu kwamba cdm ni cha kaskazini.
Subiri uone wafuasi wa malaika mkuu Gabriel'a.k.a Slaa waje wakushambulie hapa'
Hata kikwete tulimshadadia tukidhani kwa nchi kupata kijana tutasonga mbele kwa haraka .Na kweli kikwete akaja na sera ya ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA matokeo yake akashindwa kufikia rekodi ya mzee mkapa tuliemuona mzee.Zitto hawezi tena kwa taarifa yeniu zitto hataweza kwani hata utaratibu tu wa movement ya documents ofisini hajui yeye kaanza na ubunge hajawahi kutumwa na boss yeyote, zitto hajui kazi za mhudumu nini kwani hajawahi kufanya kazi ofisini.Atakachofanya ni kuvuruga utaratibu mzima wa utendaji kazi serikalini na matokeo yake mabaya sana.
Kithibitisho ni juzi alipotaka kuitisha kikao cha POAC kutka kumtetea mhando wa TANESCO eti kwa kigezo kuwa kamati yake haikuridhishwa na jinsi alivyosimamishwa.Swali dogo kwa zitto je anajua kama ana kazi ya kuisimamia serikalikama mbunge??? haoni kwa kumtetea mhando ni kuingilia kazi za kila siku za serikali.na je ikija kuonekana kweli mhando ana makosa zitto atapata wapi nafasi ya kuishauri seikali???
Ndioyo maana nasema zitto si mzuri sana kwani kuna step aliiruka ni ile ya utumishi ajue system ya serikali inafanyaje kazi>
Yeye hajui hata kwa nini kuna fungu la chai ofisini.
Nawashauri wanaompigia debe wafikirie mara dufu Zitto ni tatizo kama ataingia ikulu ni bora akabaki back benchers tuuuu.vinginevyo watanzania tutalia
Ukitaka kujua mtu ni mdini 1.Ukimwambia serikali ya sasa ni tofauti na ya awamu ya 1,2 na 3.Atakwambia kivipi wakati Jk kachukua nchi haina shule nyingi,wahitimu shule za juu sasa large in number..Ukimwamibia katika utawala wa Nyerere palikuwepo uhadirifu kazini.ATABISHA.
2.Ukimuuliza mwanasiasa gani msomi na mwenye uwezo wa kuitoa Tz hapa ilipo baada ya Jk.Atakwambia Lipumba,ukimuuliza sababu,utasikia Mwanauchumi bora,aliwahi kusema kila mtz anatakiwa kila mwezi kuwa analipwa takribani 4laki kila mwezi.Lakini ukiuliza kuhusu Slaa na sela ya cement 5000 atakwambia muongo.
3.Mwanasiasa gani unamkubali Chadema? Atakwambia Zitto Zuber Kabwe.
4.Vipi mwamuko wa watanzani katika siasa na jinsi walivyo kipokea chama cha CHADEMA? Atakwambia,tuliwahi kumwona Kaburu,Cuf na Mrema
Yahya Jameh wa Gambia je? ...japo baadae amegeuka mganga wa kienyeji lakini amini usiamini bado ni rais wa nchi hiyo hadi sasa!Nyerere alikuwa Rais akiwa na umri gani?
so mwenye maono na busara ni nani?umetumia criteria zipi kupima uwezo wa zito kuforecast na kujua wisdom yake?ama mvi ndio sifa pekee ya busara na maono,tumia kichwa kufikiri sio kutunzia nywele
Kama Mungu kamuandikia kua rais basi atakua hata iweje...mtapanda nakushuka.....