Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Mkuu mbona chadema mmegawa sana bahasha kwa wandishi ili kuandikwa leo mnaanza kukataa kazi zenu za mwanzo.Kuwapa bahasha ili uandikwe? Huo ni ujuha..
Mkuu mbona chadema mmegawa sana bahasha kwa wandishi ili kuandikwa leo mnaanza kukataa kazi zenu za mwanzo.Kuwapa bahasha ili uandikwe? Huo ni ujuha..
Kuwapa bahasha ili uandikwe? Huo ni ujuha..
Zitto Kabwe ambaye ni Kiongozi mkuu wa ACT Tanzania usiku huu amefanya mkutano na wahariri wakuu wa vyombo vya habari Tanzania.
Mkutano na wahariri umeenda sambamba na chakula cha jioni katika hoteli moja katikati ya jiji.
Zitto ametumia nafasi hiyo kuwaomba wahariri wamsaidie kuitangaza ACT Tanzania ili kiwe chama kikuu cha upinzani na kilete mapinduzi ya kweli katika siasa za Tanzania
Ni mtu mjinga pekee awezaye kubeza nguvu ya vyombo vya habari katika kukieneza Chama/Taarifa kwa wananchi.
Chombo cha Habari ni Kiungo Muhimu sana kati ya Taasisi na Wananchi. Msomi Zitto analitambua hilo wala hawezi kulipuuzia.
Vyombo vya Habari vilichangia sana kumpa kura nyingi Dr.Slaa 2010 ila ni wajinga pekee msioweza kulitambua hili.
Acheni watu makini wafanye Siasa, nyie kaeni hapa mkipiga Madomo kama desturi ya wabunge wenu akina Lissu na Lema mkija kustuka kutakuwa kumekucha.
ACT hakiwezi kuwa chama kikuu Tanzania.
Na zaidi ya Ayatollah sidhani kama kinaweza kushinda kiti kingine cha ubunge.
Ulitegemea CUF na CDM vingekuwa vyama vya upinzani wakati vina anzishwa?
Huyu jamaa ana akili nyingi sana,ACT itafika mbali sana
Kazi yake kuu ni kuitisha vikao vya chama ambavyo si vya kitaifa, halmashauri kuu wala kamati kuu. Na hata hivyo bado Kiongozi mkuu Taifa bwana Zitto ndie atakayekuwa
-kiongozi wa kusimamia, kufunza na kutoa maelekezo kuhusu shughuli zote za ACT
- mtoa tamko rasmi kuhusu masuala ya sera na mtazamo wa chama
No wonder amewekwa aliyewekwa kwa kivuli cha haki za mwanamke.... sidhani kama kuna mtu mwingine ambaye angekubali kuvikwa cheo hicho cha uenyekiti kivuli!
viti hivyo havipo na kamwe hawawezi kuvipata, mpanda mjini wananchi walisha sema mapema CHADEMA wanakipenda ila akisimama Arfi hawatakichagua, hapo unapaswa kujiuliza kuna niniNadhani wana uhakika na viti viwili mpaka sasa, cha Zitto na Arfi Mbunge wa Mpanda.
Ila Mbowe akiwapa Bahasha akina Kubenea ya Kumuandika vibaya Zitto ni sawa? Akili za walevi wa ufipa taabu tupu.
Akili ya kuwapa waandishi bahasha? Ujinga mtupu huu
Approach nzuri. Endelea Kiongozi Mkuu.
Siasa ni ujanja na mbinu,hii mbinu ni nzuri na itazaa matunda I told u this guy is very smart politician
Supreme Leader anawahonga Wahariri ubwabwa, he is using exactly technique of his sponsor (CCM) to common Mwananchi. The question is Editors will play?
wewe ndio mjinga unayetumiwa na mbowe na wajinga wa ufipa kukandamiza demokrasiaHakuna mwanasiasa mjinga kama Zitto..chama hakitangazwi na magazeti...zitto unaishi zama za kufikirika sana..