Ripoti kuipata sio mpaka uwepo kwenye kikao. Andikeni ripoti wapeni wanachama na viongozi wazione. Acheni porojo kwenye masuala ya pesa.
Bila shaka haujawahi kuwa kiongoziRipoti kuipata sio mpaka uwepo kwenye kikao. Andikeni ripoti wapeni wanachama na viongozi wazione. Acheni porojo kwenye masuala ya pesa.
Tanzania Daima ni gazeti la UDAKU...
Nashauri zito afukuzwe chamani aende zake tumemchoka
Ni kwa sababu ni mtu maarufu kuliko wote ndani ya CHADEMA ingawa hapewi nafasi ndani ya chama
Kikao chenyewe kimejaa "vifaranga na mama zao". Hakuna kipya hapo, sanasana mtu atapigwa tofali tu...
CHADEMA siku wakiamua kufanya siasa serious. tayari itakuwa too late. sasa hivi wanafanya mchezo wa kuigiza.
Vikao vyote vya kamati kuu viko kikatiba. Na hiki sio kikao cha dharura, mbona Zitto alijua toka januari kuwa tare20 /11 kutakuwa na kikao.kachukue hela nyingine uje upya