Zitto ahamishiwa Muhimbili hospital kwa matibabu zaidi

Status
Not open for further replies.
Ukweli ni kwamba hizo msg zilisambazwa kibiashara zaidi, Zitto yupo Muhimbili na anaendelea vizuri, kichwa ndio bado kinamsumbua. Sasa hicho chama chake ndio kilitakiwa kutoa ufafanuzi ili wananchi kwa ujumla wao wapate taarifa za uhakika rather than kila mtu kuzungumza anachokiju. Ila hizi taarifa ninazowapa ni za uhakika.
Naelekea kuanza kukubaliana na bi Josephine kuwa daktari ndo mwenye taarifa sahihi,na pia mwenye wajibu wa kutoa taarifa.Na taarifa hizo hutoa kwa ndugu wa karibu wa mgonjwa.

Pia kama chama kitatoa taarifa,basi taarifa hizo zitakuwa zimetoka kwa ndugu ambaye anawasiliana na daktari moja kwa moja.Ni ssue ya kifamilia na chama hakiwezi kuingilia.

chama kinaweza kutoa taarifa lakini ni baada ya kuwasiliana na wana familia.Chama hakina majukumu ya moja kwa moja ya kuwa update wananchi hadi hapo watakapopata taarifa hizo.

Na kama ndugu wanaongea na vyombo vya habari,basi ni wazi kuwa chama nacho kinapata taarifa kama wengine wanavyopata taarifa.

Chama kinaweza kuwa na taarifa za ugonjwa wake,naamini ni lazima kiwe na taarifa hizo kwasababu Zitto ni kiongozi ndani ya chama hicho.
 
Vipi kwa waganga wa kienyeji bado?? maana naskia mkulo ukimuudhi tu hata kama ni mwanawe lazima akutandike fimbo za kichwa
 
Mbona mambo yanaenda yakibadilika. Jana nilienda kulala nikijua kwamba Mh. Zitto anaendelea vizuri na hapelekwi tena India, leo naamka nasikia habari kwamba kuna mpango wa kumpeleka India punde hali yake ikianza kutengemaa kwa kuwa kwa hali aliyonayo sasa hawezi kusafirishwa!! Jamani tuwe tunapeana taarifa sahihi.

Sijui nani ni Msemaji wa Bunge ama nani ni msemaji wa Mbunge kwa kuwa kwenye ugonjwa wa Mwakyembe tumesikia Sitta akisema pia Katibu wake alikuwa akisema. Kwa Zitto nimesikia Katibu wa Bunge akisema na Spika pia amesema! Tumesikia tetesi pia kwamba Mh. Chami naye yupo India ila sijasikia msemaji akisema!! Nani ni msemaji sasa?
 
alionywa na wazee wenye mvi zao hii sio nchi mana serikali(CCM) ni wauaji yy hakusikia kila anyanyukaye hushushwa kwa nguvu zote hata ikiwa kuagiza sumu kutoka russia mana za tz naona haziwaui wala nn.........nazani tego la kwanza aliokolewa na amina chifupa alipokua anataka kunywa maziwa ktk hoteli aliyofika shost akapiga cm na kumtonya so hakunywa ila bada ya shost kutangulia mbele za haki (ina lilah wa inalilah raj uun) kama nimekosea hayo maneno sorry )))))))ndio wakampatia cku moja akalazwa hoi ila aliponea chupuchupu sasa cjui safari hii kayanywea wapi hayo mamilk mana wamesha mjua kua anapenda sana maziwa asubui kila cku so kila hotel anayopanga mitego ni ktk milk tu...........mm nilimwambia aache kunywa maziwa hata abadili drink hakuamini sasa cjui itakuaje loh!

hii system ya kutumia Masaburi kufikiria, wakati mwingine huwa inatufanya tucheke saana
 
Watu wabaya sana. jana walizua ya kuzua. Zitto, pona haraka ndugu. TUCHAKUGOMBA CHANE
 
taarifa za hali ya zitto zinakanganya na hazieleweki kabisa! Hata update hapo juu na habari za magazeti ya leo ni utata mtupu!
 
lakini ni kweli amina alikufa na mdudu.
Nyie wote mnaong'ang'ania ni mdudu inawezekana ndio mmempa sumu.Mnataka kutupumbaza tu.
Nina wasiwasi kuna mkono mchafu kwa viongozi wote wanaoumwa sasa,Natumaini si sumu,
 
aint 'i, aint' i, aint'i aint' my money long. Tatizo lako unafiki wewe shushushu.
Unafiki wangu upi? kwani uongo Zito alikuwa anakula ile maneno Amina.....unategemea nini wewe? tuwe wawazi UKIMWI si ugonjwa kama gonjwa lingine?

Wewe inakuingia akilini eti Agha khan hawajaona kitu then wakamuamishia Muhimbili nao wakagundua ana maleria 150...wtf? ina maana Agha khan hawana hata kipimo cha maleria??? phweeeew
 
Naelekea kuanza kukubaliana na bi Josephine kuwa daktari ndo mwenye taarifa sahihi,na pia mwenye wajibu wa kutoa taarifa.Na taarifa hizo hutoa kwa ndugu wa karibu wa mgonjwa.

Pia kama chama kitatoa taarifa,basi taarifa hizo zitakuwa zimetoka kwa ndugu ambaye anawasiliana na daktari moja kwa moja.Ni ssue ya kifamilia na chama hakiwezi kuingilia.

chama kinaweza kutoa taarifa lakini ni baada ya kuwasiliana na wana familia.Chama hakina majukumu ya moja kwa moja ya kuwa update wananchi hadi hapo watakapopata taarifa hizo.

Na kama ndugu wanaongea na vyombo vya habari,basi ni wazi kuwa chama nacho kinapata taarifa kama wengine wanavyopata taarifa.

Chama kinaweza kuwa na taarifa za ugonjwa wake,naamini ni lazima kiwe na taarifa hizo kwasababu Zitto ni kiongozi ndani ya chama hicho.

Naomba nikubaliane nawe na hapo hapo nitofautiane nawe kidogo. Ni kweli kuwa wanafamilia wa Ztto ndio wanaowasiliana na daktari na wanaweza kutoa taarifa, lakini pia ni kweli kuwa huyu ni kiongozi wa CDM kwa ngazi ya juu kabisa. Hivyo chama kina wajibu si wa kumhudumia tu akiwa hapo hospitalini lakini pia kupata taarifa sahihi na kuwaarifu wananchi. Si vyema watu kujiokotezea taarifa toka popote pale kwa mtu mwenye nyadhifa za kitaifa kama Zitto.
 
Nyie wote mnaong'ang'ania ni mdudu inawezekana ndio mmempa sumu.Mnataka kutupumbaza tu.
Nina wasiwasi kuna mkono mchafu kwa viongozi wote wanaoumwa sasa,Natumaini si sumu,

Alafu wanshangaza kusema mdudu kwani mdudu hawezi tumiwa kama sumu inavyotumiwa? Mfano unauugua na iko ploted kuwa uwekewe vijidudu kwenye tiba mfano sindano ama chochote kinachoweza kuwa vector nani atajua kuwa uliuawa kwa jinsi hiyo?

Ndugu zangu binadamu mwenye moyo wa kishetani aweza fanya lolote kutimiza malengo ya kishetani duniani nayo ni kuharibu, kuiba na kuua. Yaani watakuibia amani, furaha, mali etc na wakisha ridhika hapo watakuharibia maisha yako yakifamilia yabinafsi na yakijamii wakisha ridhika watakuua nafsi yako kwakupakazia mabaya; roho yako kwa uchawi magonjwa ama sumu. Hizo zote zikiwa architeteched/engineered/contracted/crafted na shetani mwenyewe Mungu wa ulimwengu wa giza.

Habari njema ni kuwa kuna maisha zaidi ya hayo katika ulimwengu uliozoeleka na wengi hata kupumbaza akili yao walio wengi. Kwakumjua Mungu na nguvu zake unapata kujenga kulinda na hatimaye kupata uzima wa milele. Mimi nimevuka huko kote mtu akiniwekea sumu mwili wangu unaigeuza tu kuwa uchafu na kuutoa kwa njia zake tano machozi, mkojo, jasho, choo au hewa chafu. Akitaka kunidhuru Mungu anatuma malaika kuni alert haraka haraka na mara situation zote zinakuwa unfavourable kwa huyo adui anaamua kughairi na wakati mwingine Mungu akitaka kumwaibisha anamruhusu anidhuru lakini hilo dhara linageuka mfadhaiko kwake maana atashangaa hata baada ya kupa symptoms zote za hilo dhara bado hayawezi kutimiza lengo la hilo dhara na kubwa kuliko yote ni amani ya ndani kabisa kwakua nauhakika na yule ninaye mwamini kuwa katika yote upendo wake utanihifadhi duniani ama mbinguni.

Wito kwa wote tumjue sana Mungu amani yetu ipate kuwa tele na furaha yetu kuwa kamili. Atoavyo Mungu si kama dunia itoavyo kwani vya Mungu ni vya milele na vya dunia ni vya kitambo tu.
 
Pole sana Zitto. Viongozi wengi wa Tanzania siku hizi wanatibiwa India. Vp Zitto apelekwi?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom