Tandam4
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 379
- 822
Na hutakaa uuone maana kusoma hujui hata picha huielewiSijawahi ona uzi wa kijinga kama huu.
Na hutakaa uuone maana kusoma hujui hata picha huielewiSijawahi ona uzi wa kijinga kama huu.
Hawa wote ni watu wanasoma maneno na kufuata kama kasuku sio kuelewa context...ndio ubaya wa elimu za kukaririNaona hapa jamaa wa fasihi GuDume kawakamata.
Mihemuko inafanya watu wanashindwa kuelewa na "kudigest" mada!Leo nimeamini watu wengi hasa watz,au wavivu kusoma au hua hawaelewi kilicho andikwa,
Pia labda kwasababu hatujuani umri wetu humu,Tungekua tunajuana umri unaweza sema huyu mtoto achana nae au ukasema hili kubwa jinga
Yaani huu uzi asilimia kubwa ya walio comment hawajaelewa mwandisha yupo upande upi,au ujumbe wake ni nini?
Mungu tusaidie
Zero brainAisei sasa naona jf 90% low brain tupu hakuna aliyemwelewa gudume!
Propaganda zimefanya vichwa vya watu vilale, haviwezi tena kupembua mambo i.e "brainwashed"JF siku hizi imejaza vilaza tupu.
Watu wanashindwa kun'gamua anachomaanisha mleta mada
dislikepress "like" if you understood
Kama hujaelewa wewe na wenzio kadhaa haimaanishi watu wote hawajaelewa au kilichoandikwa ni jambo la ovyo.Kuna kitabia kamejitokeza mtu akiandika mambo ya hovyo yasioelewaka basi anasifiwa eti ameandika kifasihi zaidi.
Thread imekaa kinafiki sio FasihiWengi hawatakuelewa umeandika kifasihi zaidi
Huyo ni supporter wa Zitto 100% title ya thread kaiweka kinyume! Yaan kinafiki zaidNimetoka.mtupu walioelewa tusaidieni
GuDume,
Kama kuna watu wajinga basi wewe ni nambari wahedi..!!
Ulichoongea pamoja na mfano wako vinachekesha na kukuumbua kuwa wewe ni mjinga sana na huwezi kupingana na ZZK kwa hoja yoyote. Maana kwa mfano wako huu wa mke na mmewe kuanguka kwenye mnazi na daktari kusema jamaa kafa huku yuko hai basi AAMINI KUWA KAFA KWASABABU KASEMA DAKTARI??? KWA HIYO NA WEWE UNATAKA KUWAAMBIA WATANZANIA MAGUFULI AKISEMA WATANZANIA WAMEKUFA, WAJINGA, HAWANA AKILI, WAPIGA DILI n.k. LAZIMA WAKUBALI KWA VILE KASEMA RAIS.....!!!Huu ni uzezeta uliopitiliza.....!!!
Unatakiwa ukachunguzwe afya yako inaonekana wewe NI MAREHEMU na naomba uamini maneno yangu...!!