Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
swadaktaar...
Uliimbwa na Afro 70 Band ya akina Patrick Balisidya...Hivi wakuu samahani,
Hivi wimbo wa harusi original kaimba nani?,ukiacha aliourudia Mr Paul.
Kama kuna mtu anao auweke hapa au ani PM nimpe no anitumie whatsapp.ntashukuru.
Ule wimbo wa Maua mazuri yapendeza....ni mimi nilitunga.
...
Hivi wimbo wa harusi original kaimba nani?,ukiacha aliourudia Mr Paul.
Kama kuna mtu anao auweke hapa ....
Nimekuwekea wimbo wenyewe na waliokuja kurudia.
Cc. Gang Chomba
View attachment 283219
View attachment 283220
pia kuna wimbo unasema "wanyaa wabaya mana yake. ni wanadamu wenye choyo...ohhhh huu pia sijajua ameimba nani ila nilikuwa nikiusikia sana ukipigwa live band pale ORION HOTEL au TABORA HOTEL
Hizi nyimbo enzi hizo mi nadhani raha yake ilikuwa unasikilizia huku unakunywa ulanzi au mbege(pombe za kienyeji)but siyo pombe za sasa hivi.....halafu hivi zile katitu za kenya bado zinaendelea?
Lakini jiulize kwanini bar hawapigi nyimbo za kisasa iula wanapiga za zamani!?
Katika jitihada za kuhifadhi nyimbo na bendi zetu za zamani, nimenzisha mtandao ambao ninakusanya nyimbo hizo na kuzipanga kulingana na albam. Tembelea www.zilipendwa.com ili utoe mawazo yako na kusikiliza baadhi ya nyimbo hizo.