Babu la Bara
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 529
- 575
Yaani wewe kama mimi tu. Jamaa wanazingua hadi basi!!!!!!!!!Hakuna cha siku 60 au siku 100 nimelipia kuunganishiwa umeme nguzo moja tu tangu october 2016 hadi sasa ni usumbufu tu bora hela yangu ningenunua solar