Zijue Sifa za ndege za kivita EF-18 na F-22 F35

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,591
8,632
F-35 ni mradi wa nchi mbalimbali zilizoshirikiana kuitengeneza hii ndege ndo maana ukiachana na Israeli, Japan pia atauziwa hizi ndege, Wingereza, Australia, Canada pia alikua na mpango kuzinunua ila wameahirisha na kuamua kununua E(F)-18 zilizoboreshwa zaidi..

Je hii ni ndege bora kwa uhalisia kabla hujajibu hili swali jiulize kwa nini Amerika hawaiuzi F-22 na B-2 kwa nchi washirika pamoja na uwezo wake mkubwa kwenye uwanja wa mapambano na kupendwa na kuvutiwa na mataifa mengi washirika wa Amerika! F-35 ni ya kisasa kwa maana tu ya kua imetengenezwa hivi karibuni lakini kwa vigezo vya ubora vitani hii ndege haina uwezo.. Wabunifu wa SU T-50 PAK FA wanasema, ndege kua tu stealth haitaweza kuisaidia mbeleni wakati huu ambao radar pia zinaboreshwa hivyo kua stealth lazima kuendane na mambo mengine kama manuvability, kua na radar za masafa marefu na kuwa na siraha ambazo ni beyond visual range(BVR)...

Kitendo cha kuweka pratiforms nyingi katka frame moja kwa F-35 kuna ifanya ndege kua nzito sana hivo haiwezi kumanuver na kitendo cha ndege kua na low manuvability maana yake haiwez dog fighting, na kitendo cha kushindwa dog fighting maana yake haiwezi kua airsuperiority fighter(haiwezi kulitawala anga) na kitendo cha kushindwa kulitawala anga maana yake hata ndege ya kizazi cha kati ya nne kwenda tano (4++) kama SU-35 au Euro fighter typhoon, Jas Grippen au J-17 ikiwekewa mafuta ya kutosha kukaa angani mda mrefu ikailia timing inaweza kui ambush F-35 na ikaiangaza.. mfano kwa vigezo vyote ilivyonavyo SU-35 kuanzia uwezo wa kubeba mafuta mengi, kubeba siraha ambazo ni beyond visual range, spidi kali, highly manuvable na kua na radar ya masafa marefu na ambayo inadetect target zote mbele na nyuma ya ndege, kwa kweli kana itatokea battle ya hizi ndege mbili angani (one to one) trust me F-35 analiwa asubuhi kabisa..

kumbuka hii ni SU-35 ndege ya kizazi cha nne(++) vip kama itakumbana na T-50 PAK FA ndege ya kizazi cha tano ambayo licha ya kua super stealth pia ina vigezo vingne vyote air superior fighter inavyopaswa kua navyo kama kupiga pugachev cobra manuver, spid kali, powerful engines, radar kali na za masafa marefu, uwezo wa kuharibu mawasiliano ya adui nk....

Kwa kweli kama utanambia nichague kati ya F-35 na F-22 ntachagua F-22 na nadhan huo pia ndo mtazamo wa jeshi la Amerika ndo maana F-22 hawajamuuzia yeyote hata Israeli...
700578d1cbc92f198faae7a0e706f8bb.jpg
 
f22 are useless ndo mana production yake iko cancelled inaitaj 35 hrs of maintenance kila baada ya 1hr of flight hii ni from classified report!!! iko vulnerable sana hata kwa bunduki ndogo tu ya kawaida na haiwez kukata kona au ku manouver in combat kwa sababu ina tumbo kubwa na mabawa madogo!!!
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ila kumbuka F35 sio air superiority fighter compared to F22,F22 toka mwanzo ilidizainiwa kuwa air superiority fighter jet... Na hzo 4.5+ gen itakua ngum kuintercept F35 coz of powerful radar of F35,avionics, etc.
 
f22 are useless ndo mana production yake iko cancelled inaitaj 35 hrs of maintenance kila baada ya 1hr of flight hii ni from classified report!!! iko vulnerable sana hata kwa bunduki ndogo tu ya kawaida na haiwez kukata kona au ku manouver in combat kwa sababu ina tumbo kubwa na mabawa madogo!!!
Hahaha.... Et F22 ni useless jiulize kwann Trump anataka zianze tena kutengenezwa, Pia jiulize kwann nchi nyngne haziuziwi na walikua wanaitaka kwa udi na uvumba ikiwemo Japan na South Korea, teknolojia iliyotumika mule sio ya sportsport
 
T-50 PAK ni habari hatari sana kwa western..bila shaka vita ya Syria imetoa somo tosha juu ya mitambo ya Kirusi
T-50 ni tishio labda on papers na hata km itakua ni tishio sio kiivile km watu mnavyodhan maana hata historia inaonyesha jinc ndege za US zilivyo powerful kwa za Russia maana hata mig foxbat za Syria ambazo ni Mach 3+ zilidunguliwa na F15 za Israel ambazo ni Mach 2.5 bila kusahau sukhoi kibao.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-12-16-01-56-53.png
    Screenshot_2016-12-16-01-56-53.png
    68 KB · Views: 113
  • Screenshot_2016-12-16-01-57-01.png
    Screenshot_2016-12-16-01-57-01.png
    95.9 KB · Views: 114
T-50 ni tishio labda on papers na hata km itakua ni tishio sio kiivile km watu mnavyodhan maana hata historia inaonyesha jinc ndege za US zilivyo powerful kwa za Russia maana hata mig foxbat za Syria ambazo ni Mach 3+ zilidunguliwa na F15 za Israel ambazo ni Mach 2.5 bila kusahau sukhoi kibao.
we anategemea Reuters wataandikaje...kumbuka zile missile zilizorushwa toka Caspian sea through Iran,iraq zikahit target Syria..western media walisema zimeangukia mahali flani Iran..kimsingi tangu Su 35 ziruke pamoja na Su 25,24 hakuna cha F 15 na dada zake katia mguu Syria kumbuka ground kuna Russian made S-300/400+pantsir
 
T-50 ni tishio labda on papers na hata km itakua ni tishio sio kiivile km watu mnavyodhan maana hata historia inaonyesha jinc ndege za US zilivyo powerful kwa za Russia maana hata mig foxbat za Syria ambazo ni Mach 3+ zilidunguliwa na F15 za Israel ambazo ni Mach 2.5 bila kusahau sukhoi kibao.
waarabu ni incompetent sana. kudunguliwa haimaanishhi nddege ni dhaifu.
 
we anategemea Reuters wataandikaje...kumbuka zile missile zilizorushwa toka Caspian sea through Iran,iraq zikahit target Syria..western media walisema zimeangukia mahali flani Iran..kimsingi tangu Su 35 ziruke pamoja na Su 25,24 hakuna cha F 15 na dada zake katia mguu Syria kumbuka ground kuna Russian made S-300/400+pantsir
Kumbuka missile alizorusha US from sea zikaharibu radar sites za Iran kule Yemen, Hv unajua Israel mwez huu pekee kashambulia Syria Mara ngap hzo S400 zilikua wap... Half F15 zipigane na Su-30 kwan kuna vita mbna F15 ni mzoefu wa kuzifumua hzo Sukhoi za Syria tangu kipind cha Su-27...Half hv unajua kwamba F15 ndo successful air superiority fighter jet coz haijawahi kua defeated kwenye air combat hata siku moja kaz yake ni kudungua tu.Half sasa hv kuna F15S hyo ina stealth characteristics ni nouma siyo ya kisportsport.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-12-17-10-15-08.png
    Screenshot_2016-12-17-10-15-08.png
    60.5 KB · Views: 100
  • Screenshot_2016-12-17-10-15-55.png
    Screenshot_2016-12-17-10-15-55.png
    94.4 KB · Views: 107
Hahaha.... Et F22 ni useless jiulize kwann Trump anataka zianze tena kutengenezwa, Pia jiulize kwann nchi nyngne haziuziwi na walikua wanaitaka kwa udi na uvumba ikiwemo Japan na South Korea, teknolojia iliyotumika mule sio ya sportsport
Mkuu swala la kuto uza Siraha nje huwa liko kwa nchi nyingi na ni mpaka watengeneze Export version, Hata zile S-300 Urusi alizo uza Iran si kwamba ni the same na S-300 anaza tumia Mrusi. hii ni kwa matafaengi sana.
 
Back
Top Bottom