kabla sijakupigia niambie kwanza haumbi helaa???
mimi ni mvivu sana wa kula breakfast, lakini mchanganyiko huu ambao nautumia asubuhi kabla sijaenda job, umenisaidia sana;
plain yogurt, maembe, ndizi na parachii yote nachanganya kwenye blender alafu napiga glass 2.
Yaani hapo njaa hainitafuni mpaka lunch time.