residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 7,020
- 9,609
Naona ulikuwa mmoja ya watu walioumbuka MAKULUGA .Hizihabari zinaboa ...Ila kilicho wazi ...Kuna watu wataumbuka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona ulikuwa mmoja ya watu walioumbuka MAKULUGA .Hizihabari zinaboa ...Ila kilicho wazi ...Kuna watu wataumbuka!
Baada ya siku 2 jibu lilipatikana😅Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
MmhAlikuwa busy kuhakikisha Mama Samia hajui kama jiwe limekufa na pia haingii Ikulu.
Haya mambo haya...Baada ya siku 2 jibu lilipatikana😅
HabariiWatu mnajipa matumaini na story za kijinga sana Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
Uliingizwa chaka na wewe ukaja kuingiza watu chaka.Siyo mawaziri tu, kama huna taarifa mimi nimesoma na Magufuli Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Nilikuwa ninakaa Hall One yeye alikuwa Hall Four. Kwa kuanzia hapo unaweza kujua ni mawaziri wangapi ambao ninaweza kuwa nifahamiana nao. Mimi nimeongea waziri mmoja tu ambaye tunatoka sehemu moja, wala halikuwa swala na kujuana na waziri au kiongozi yoyote kwani ninajuana na wengi sana
Sasa sisi tungejulia wapi Bwana Adv Allen?Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
We jamaa huwa unajibu comment za watu ukiwa umefikiria au unaongozwa na uchwa tu?Watu mnajipa matumaini na story za kijinga sana😂 Yaan azunguke Dodoma ili nini?
Kiufupi utoto umekujaa
Nyie wahuni nyieWe jamaa huwa unajibu comment za watu ukiwa umefikiria au unaongozwa na uchwa tu?
Masawe mbona uko hivyo.....akina Masawe wanakuwaga waungwana ila wewe umekuwa tofautiNyie wahuni nyie
Dawa yenu ni kuwaswaga tu kama Ngombe
Nyie mlitabiri kifo wenzenu aibu yenu
Hahah, Mimi ni muungwana sana mkuuMasawe mbona uko hivyo.....akina Masawe wanakuwaga waungwana ila wewe umekuwa tofauti
Lugha na mienendo yako hai aksi uungwanaHahah, Mimi ni muungwana sana mkuu
Tusubiri uchaguzi mkuu now Mimi ni muungwana kabisaLugha na mienendo yako hai aksi uungwana
Mabeyo aeleze ukweli.Msafara wa Waziri Mkuu wiki hii hapa Iringa umekuwa si wa kawaida.
Si wa kawaida kwa kuwa tumezoea viongozi wa kitaifa wakianza Ziara kwa Mkoa fulani, huifanya yote mpaka imalizike.
Lakini nahisi waliopanga Ziara ya Waziri Mkuu kwenye Mkoa wa Njombe hawajaipanga kiumakini.
Juzi Waziri Mkuu alipita hapa ikisemwa anatokea Njombe kwenda Dodoma. Jana alipita tena ikisemwa anatokea Dodoma kwenda Njombe kuendelea na Ziara ya Mkoa wa Njombe.
Leo inaonesha alitakiwa awe Manda bandarini huko Ludewa, na inasemwa kuwa watu walikuwa tayari wamekusanyika ,lakini tena inasemwa anarudi tena Dodoma.
Nani ameipanga hovyo hii Ziara ya Mheshimiwa Waziri Mkuu kiasi kwamba inaonekana haina utulivu?
Uchaguzi mkuu utagombea?Tusubiri uchaguzi mkuu now Mimi ni muungwana kabisa
Bush Dokta bana😂
Hii comment wakati naisoma kipindi kile ilinipa moyo sana na tumaini, natamani ingekuwa vile!Nimeongea na waziri mmoja ambaye ni classmate wangu. Tulikuwa na maongezi ya kinyumbani tu ila nikaingiza udadisi wa hili swala la afya ya magufuli. Waziri anasema magufuli ni mzima kabisa ila kwa sasa hivi yuko kwenye mfungo ambao ameuchukulia kwa nguvu sana kutokana na mambo mbalimbali yanayoikumba nchi kwa kipindi hiki. Ila huwa anakutana na mawaziri kwa nyakati mbalimbali, wala hayuko Chato bali yuko Ikulu