Zembwela/ Manara Wana maisha mazuri kuliko Profesa wa Tanzania

Pamoja na kuwa na Elimu za Kuunga-unga Zembwela na Manara Wana maisha decent kuliko Maprofesa hapo SUA na kwingineko nchini
Ukiwa mtoto wa mjini mwenye midomo ya bata na ujanja wa kujichomeka bila aibu utaishi vizuri sana, watanzania tunaishi kwa viwango vya chini sana yaani hivi sasa CCM ni sawa na kasha tupu, hakuna viongozi wanaoijua siasa kama wale wa zamani, kila mmoja yuko kivyakevyake.
 
Wape heshima yao, siyo rahisi kuwa prof, pia nadhani ifike muda ujue tofauti ya maisha mazuri na maisha ya anasa. Yawezekana mtu wa kijijini aliye na na 1500 kwenye m-pesa akawa na maisha bora kuliko mtu wa mjini mwenye 15m kwa m-pesa. Yawezekana mimi hapa nikawa na maisha bora yenye amani kuliko diamond mwenye millions kwa account. Amani, uhuru na hakika(ieleweke hakuna aijuae kesho) ya kesho ni bora kuliko hofu na hakika ya kununua chochote.
 
Wape heshima yao, siyo rahisi kuwa prof, pia nadhani ifike muda ujue tofauti ya maisha mazuri na maisha ya anasa. Yawezekana mtu wa kijijini aliye na na 1500 kwenye m-pesa akawa na maisha bora kuliko mtu wa mjini mwenye 15m kwa m-pesa. Yawezekana mimi hapa nikawa na maisha bora yenye amani kuliko diamond mwenye millions kwa account. Amani, uhuru na hakika(ieleweke) ni bora kuliko hofu na hakika na hakika ya kununua chochote.
Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
 
Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Sasa mkuu, unatoa ujumbe gani?
Kapanga nyumba ya M.8 kwa mwezi? Japo figure haina ukweli ila pia sasa hii ni akili au matope?
 
Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Sikatai, ila kucredit mtu kulingana na kipato tu si sawa, tutambue umuhimu wa msomi. Na pili, ubora wa maisha si kipato tu
 
Sasa mkuu, unatoa ujumbe gani?
Kapanga nyumba ya M.8 kwa mwezi? Japo figure haina ukweli ila pia sasa hii ni akili au matope?
UKiwa masikini unaweza usielewe nani wanaopanga apartments mjini ila ukifikia level hizo ni kitu cha kawaida utakuta analipiwa na gsm sasa hapo hasira za nini? Wakati maprofesa wapo kota za udsm ndio utofauti hapo ulipo
 
Kadri unavyopunguza angle katika kuangalia maisha, yani you pay attention kwenye little details(usomi wa prof) ndivyo unavyoshindwa kuyaangalia mambo katika upana wake. Mtu amebase maisha yake kwenye kitu kimoja tu, ndicho anawafundisha vijana come sun come rain. Unadhani ataweza kuyaangalia maisha in a broad way?
 
Mkuu tuache chuki hawa kina msnara na ommy dimpoz wana maisha mazuri sanaaaa siyo ya kawaida income zao ni kubwa kuliko unavyodhania
Manara kila mwezi kuna bayport , tigo na utitiri mwingine huko gsm na kadhalika kote huko hela inaingia nyumba anakaa apartment ya usd 3000 per month hiyo ni 8m embu nionyeshe prof yoyote anayeishi karibia tu na maisha hayo
Sidhanii kama una uhakika na usemacho, lakini duniani kote vipaji vina lipa zaidi Rihanna si msomi lakini ana fedha kuliko prof pale Cambridge marehemu bwana hawking, maisha ya celebrities wa bongo ni uongo, wakiumwa ndo tunaelewa ayo maisha uliyosema mtu akiumwa aende Apollo india tunchangishwa insta amna uhalisia hapa.
 
Sidhanii kama una uhakika na usemacho, lakini duniani kote vipaji vina lipa zaidi Rihanna si msomi lakini ana fedha kuliko prof pale Cambridge marehemu bwana hawking, maisha ya celebrities wa bongo ni uongo, wakiumwa ndo tunaelewa ayo maisha uliyosema mtu akiumwa aende Apollo india tunchangishwa insta amna uhalisia hapa.
NI kweli maisha ya celibrities yana fake nyingi ila kuna wachache wana endorsements na vipato vikubwa sana kuliko kawaida the likes of ommy dimpoz, manara , diamond konde boy etc hao kina gigy money hawapo kwenye kundi hilo
 
Back
Top Bottom