Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Akionyesha kuguswa na kukerwa na kuvunjiwa heshima na wachangiaji wake kwenye picha aliyoiweka (instagram) akiwa Dubai Zembwela amemjibu mmoja wa wale kuwa;
"Sisi tulienda kushuhudia kama kweli wale jamaa ni wataalamu wa bandari na tulionyesha.
"Sasa ulitaka mimi mtu niliyesoma Sayansi Kimu nijiingize kwenye masuala ya vipengele vya Sheria, naweza wapi? Wapo wataalamu wa Sheria kama kina Kibatala, Lissu na wengine, hao ndio wajibu wao sasa wa kututetea tuwe na vipengele sahihi kwa manufaa ya nchi.
"Sheria siyo makalio eti kila mtu awe na elimu kwayo!"
Zembwela.
"Sisi tulienda kushuhudia kama kweli wale jamaa ni wataalamu wa bandari na tulionyesha.
"Sasa ulitaka mimi mtu niliyesoma Sayansi Kimu nijiingize kwenye masuala ya vipengele vya Sheria, naweza wapi? Wapo wataalamu wa Sheria kama kina Kibatala, Lissu na wengine, hao ndio wajibu wao sasa wa kututetea tuwe na vipengele sahihi kwa manufaa ya nchi.
"Sheria siyo makalio eti kila mtu awe na elimu kwayo!"
Zembwela.