Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,915
[h=5]Nimekuwa nazunguka sehemu nyingi hapa Dar kupata vituko, lakini kwa kweli hizi sehemu wanazokwenda enjoy wale wanaojiona wako juu kuna vituko vikali sana, kwa kawaida huwa nakaa pembeni na Fanta yangu nasikiliza vituko, sasa kuna hawa wakaka na wadada ambao hutaka kuongea Kiingereza tu kusudi kuonekana wao wako kidijitali zaidi, yaani we acha tu. Ukitaka upate utamu huu live nenda kwenye bar zote karibu na vyuo hasa baada ya wanachuo kupata mshiko wao, wenyewe wanauita BOOM, nenda club za Masaki, nenda Samaki samaki na sehemu kama hizo, utasikia kiingereza kifuatacho;
i. Where did u went?
ii. I come to your office yesterday but I didn't find u.
iii. Where is the second leg of my shoe?
iv. I enjoyed the movie, it is very interested
v. God bless you with a children
vi. "She dided it"
vii. I will better kill myself than commit suicide.
viii. Can you hear the smell?
ix. Arsenal and Man U are the greater rivalry in England.
x. I was come
xi. We are mucher than them
xii. Remember me to give you your money tomorrow
xiii. This film is very sweet
Guys if this is how you people speak English, include me out.[/h]
i. Where did u went?
ii. I come to your office yesterday but I didn't find u.
iii. Where is the second leg of my shoe?
iv. I enjoyed the movie, it is very interested
v. God bless you with a children
vi. "She dided it"
vii. I will better kill myself than commit suicide.
viii. Can you hear the smell?
ix. Arsenal and Man U are the greater rivalry in England.
x. I was come
xi. We are mucher than them
xii. Remember me to give you your money tomorrow
xiii. This film is very sweet
Guys if this is how you people speak English, include me out.[/h]