-Vijana wabunifu sana, wasanii wa kweli! Walianzia EATV-walifanya vizuri, wakawa maarufu wakaitwa Bungeni mpaka Ikulu wakajisahau wakadhani ni maarufu kuliko EATV yenyewe, wakatemwa!
-Wakaja TBC wakaanza vizuri, wakapata tenda nono, wakajiona wako juu ya DUNIA, matanuzi kwa sana, wakaanza kutukana watu (kwamba wamefulia)!
-Sasa, hawana mvuto, hawaeleweki wanafanya nini, wanaburudisha au wanaganga njaa tu! mashabiki hakuna tena, Wapo TBC tu kwa sababu ya Contract ya Vodacom, Ikiisha-KAZI BASI! Warudi kijiweni...
Tuwaite nao wamefulia kama walivyowaita wenzao??
Message;
Ukiwa Juu usijishau na usione wengine ni wapumbavu badala yake ongeza juhudi zaidi na heshimu watu wote!
-Wakaja TBC wakaanza vizuri, wakapata tenda nono, wakajiona wako juu ya DUNIA, matanuzi kwa sana, wakaanza kutukana watu (kwamba wamefulia)!
-Sasa, hawana mvuto, hawaeleweki wanafanya nini, wanaburudisha au wanaganga njaa tu! mashabiki hakuna tena, Wapo TBC tu kwa sababu ya Contract ya Vodacom, Ikiisha-KAZI BASI! Warudi kijiweni...
Tuwaite nao wamefulia kama walivyowaita wenzao??
Message;
Ukiwa Juu usijishau na usione wengine ni wapumbavu badala yake ongeza juhudi zaidi na heshimu watu wote!