Wameamua kurudia jina lile lile... hata mm wamenishangaza
Jina ni la kwao,ndio maana akina Masanja walishindwa kulitumia kule TBC ingawa walikuwa wanataka kulitumia lakini mambo ya hati miliki/shirikishi ikagoma.
Tusubiri tuone wanakuja na mpya gani maana hawa ORIGINAL KOMEDY wameanza ku........................
una maanisha PELEKA?.....poleka jina langu Mbonea
Wadau, E.A.TV wameanza mchakato wa kutafuta Ze comedy wapya kuziba Pengo la akina Orijino Komedi.... Zoezi litakuwa trh 8....
Hilo ndilo jibu lake, afadhali futuhi mala 100Wale wa TBC wamefulia?
Mwambie na George-Porje huenda hajaliona hili dili la ajira, maana mnafaa kuwa comedians!Nitashiriki naombeni dua zenu nami nipate ajira??
Ajitahidi kuliona coz trh 11 c mbali jamanMwambie na George-Porje huenda hajaliona hili dili la ajira, maana mnafaa kuwa comedians!