Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
habhali yenu bhana
Tukiwa kwenye maandalizi ya kuanza mashindano naona ni bora kutangaza zawadi kabla ya kuanza mashindano hapo tyarehe 31 oct,
zawadi kwa mshindi wa kwanza (ambaye ndio miss)itakua ni muda wa maongezi wenye thamani ya Tshs 8,000/=
zawadi kwa mshindi wa pili itakua ni muda wa maongezi wenye thamani ya tshs 1,500/=
Zawadi kwa mshindi wa tatu itakua nu muda wa maongezi wenye thamani ya Tshs 500/=
Kama kunamfadhili mwingine anaweza kujitokeza kuongeza mfuko huu wa zawadi anaweza ni PM,
nawategemea sana kusikia kaulizene hasa Bishanga ruttashoborwa Judgement Madame B Remmy Erickb52 na wengine wote wenye nia ya dhati katika kuhakikisha zawadi inakua nono hapa chitchit mahala pa kupunguza stress na uchofu wa mihangaiko ya kila siku katika kusaka riziki
Nawasilisha
Tukiwa kwenye maandalizi ya kuanza mashindano naona ni bora kutangaza zawadi kabla ya kuanza mashindano hapo tyarehe 31 oct,
zawadi kwa mshindi wa kwanza (ambaye ndio miss)itakua ni muda wa maongezi wenye thamani ya Tshs 8,000/=
zawadi kwa mshindi wa pili itakua ni muda wa maongezi wenye thamani ya tshs 1,500/=
Zawadi kwa mshindi wa tatu itakua nu muda wa maongezi wenye thamani ya Tshs 500/=
Kama kunamfadhili mwingine anaweza kujitokeza kuongeza mfuko huu wa zawadi anaweza ni PM,
nawategemea sana kusikia kaulizene hasa Bishanga ruttashoborwa Judgement Madame B Remmy Erickb52 na wengine wote wenye nia ya dhati katika kuhakikisha zawadi inakua nono hapa chitchit mahala pa kupunguza stress na uchofu wa mihangaiko ya kila siku katika kusaka riziki
Nawasilisha
Last edited by a moderator: