The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kila ninapoenda kwenye harusi au sherehe za birthday
au nyinginezo kuna kitu huwa kinanishangaza sana....
Nacho ni utamaduni wa watu kutoa zawadi ya pesa.....
Tena wakati mwingine unakuta mc anasisitiza kabisa kuwa zawadi ni zawadi
chochote ulichonacho wape maharusi au mwenye sherehe mfano birthday hivi....
Swali hapa ni hili,zawadi si inatakiwa kuwa kitu kitakochobaki kwenye kumbukumbu..?
Je zawadi ya noti ya elfu kumi au hata laki utaikumbuka kwa miaka mingapi?
Jee huu utamaduni ni sahihi???????
Hatuwezi kuanza kubadilika na kutoa zawadi zenye maana zaidi
zinazo last forever?????????
Nyinyi humu mnasemaje???????????
au nyinginezo kuna kitu huwa kinanishangaza sana....
Nacho ni utamaduni wa watu kutoa zawadi ya pesa.....
Tena wakati mwingine unakuta mc anasisitiza kabisa kuwa zawadi ni zawadi
chochote ulichonacho wape maharusi au mwenye sherehe mfano birthday hivi....
Swali hapa ni hili,zawadi si inatakiwa kuwa kitu kitakochobaki kwenye kumbukumbu..?
Je zawadi ya noti ya elfu kumi au hata laki utaikumbuka kwa miaka mingapi?
Jee huu utamaduni ni sahihi???????
Hatuwezi kuanza kubadilika na kutoa zawadi zenye maana zaidi
zinazo last forever?????????
Nyinyi humu mnasemaje???????????