Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.
na wasiwasi wewe ni gwanda la kijani na una lako jambo, mbona hujamsema sugu umeanza kwa mbowe, una lako jambo na umetumwa
waziri mkuu wetu mtarajiwa
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.
DAT DA past.....it no longer matter for now,we grow and develop everyday!!
Aunganishe na ya JK alivyokuwa anafata ile totoz ya sinza kwa remi kipindi kile waziri wa mambo ya nje....zikagongana na seya mivaro ooooh seya
idle minds always discuss people .......
unataka kusema mbowe alikuwa anavaa heleni kama mwanamke?
Nitatoa pesa kama hiyo kwa yeyote atakayeweka picha ya mugisher akiwa amejinyea, anatoka makamasi, na amajikojolea kipindi kile akiwa mtotoNitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.
Nitatoa pesa kama hiyo kwa yeyote atakayeweka picha ya mugisher akiwa amejinyea, anatoka makamasi, na amajikojolea kipindi kile akiwa mtoto
Nitatoa shilingi milioni moja kwa yeyote yule atakaye post picha za Mbowe enzi zile akiwa amesuka nywele au kubana nywele nyuma au kuweka curl kit au perm au rasta au kuvaa hereni. Hili ni kwa wema ili tujue waziri mkuu wetu mtarajiwa alianzia mbali sana kimaisha. Wadau changamkeni. Chochote chawezekana bongo.