Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Ewaaa at least now nna pa kuanzia, Thnx Keren nami nakuakikishia kabla hata jogoo hajawika ntakua hapo home kwenu!
(Kloro uliee tu)
Smily si patakuwa crowded wajameni ukizingatia nimeshajaa tele humu ndani ? hahaha! hujambo lakini,idd njema.
My dears.....sorry sikuweza kujibu hizi posts maana sredi ilihamishiwa nyumba ya wakubwa, nami sina ufunguo...
Stay blessed.