nitajie jina la kiswahili la mti wowote ule
ambao hauitwi kwa kuanza na herufi m......
Na hapa nazungumzia mti,mimea
miti ya kupandwa ardhini...mfano mwembe,muarobaini, n,k.
mshindi ni mmoja tu atakae kuwa wa kwanza.....
bamia....kabeji......bangi.......
nazungumzia mti,mimea
miti ya kupandwa ardhini..
bamia....kabeji......bangi.......
Boss hapo sijaelewa kwa kweli.....uko wapi huo mti?????