Zarina Hakujiandaa kwa Shambulio la kustukiza

Zari kakosea sana kuanza bishana... Angemute..
Kahariibuu.... Sasa anjisema mwenyewe kwamba nyumba si yake.. Sijui nyumba nne ..!?

Hizo nyumba nne hata picha moja hajawahi piga.
Anzingua...

Ila Mondi alimvuruga sanaa.... Kuliwa na trainer... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Soma hapa uelewe acha kuwa kichwa ngumu.View attachment 1081460
Dont be stupid like ur boss
😝😝😝 Kwanza kabisa unatakiwa uelewe kuna pande mbili za mshitaki na mshitakiwa kila mmoja anavutia upande wake.

Unakubaliana nami hiyo nyumba anayoishi sasa ni 100% ya diamond na hakuna mtu mjanja wa masuala ya kihuni ya kindava kama Salam Sk Zari hana uwezo wa kucheza na ile management kabisa muulize Ruky cute na wenzake wanafahamu.

Zari ni kweli ana nyumba SA ila za kupanga tu nyumba ambayo ni yakwake ni moja tu ni hiyo iliyonunuliwa na dai na sio yake kwa maana ya mmiliki ila ni yaks kwa maana ya umaza hausi
 
Zari kakosea sana kuanza bishana... Angemute..
Kahariibuu.... Sasa anjisema mwenyewe kwamba nyumba si yake.. Sijui nyumba nne ..!?

Hizo nyumba nne hata picha moja hajawahi piga.
Anzingua...

Ila Mondi alimvuruga sanaa.... Kuliwa na trainer... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Shemeji amekosa utulivu!
Hakulitegemea hilo bomu,anatumia nguvu nyingi sana
 
😝😝😝 Kwanza kabisa unatakiwa uelewe kuna pande mbili za mshitaki na mshitakiwa kila mmoja anavutia upande wake.

Unakubaliana nami hiyo nyumba anayoishi sasa ni 100% ya diamond na hakuna mtu mjanja wa masuala ya kihuni ya kindava kama Salam Sk Zari hana uwezo wa kucheza na ile management kabisa muulize Ruky cute na wenzake wanafahamu.

Zari ni kweli ana nyumba SA ila za kupanga tu nyumba ambayo ni yakwake ni moja tu ni hiyo iliyonunuliwa na dai na sio yake kwa maana ya mmiliki ila ni yaks kwa maana ya umaza hausi
Amebaki ooh kiki .yaani dai ameanza kujulikana kabla huyo zari,ndio maana akamnyatia
 
Zari kapata umaarufu Tanzania baada ya kuwa Dai,Zari kapata umaarufu E.A nzima baada ya kuwa na Dai.

Kapata followers kibao baada ya kuwa na Dai leo hii wabongo na wakenya wakimu_Unfollow hahaha nazani atabaki na 900K tu.

Kile chuo nadhani ni sawa na Mapinga education institute ya Sinza mapambano hakina hela.

Mwenzake anamiliki Media ambayo itamlipa mpaka anakata moto.

ALAFU MAAJUZA WENGI WA KIBONGO WANACHUKI ZA NJE NA DAI KWA KU_SIDE NA ZARI KUMBE NDANI WANAUMIA KWANINI WAO ANAWAMEGA TU KAMAKINA RUKY CUTE DORY CUTE ALAFU AKABEBE MWANAMKE OFFICIAL TAIFA JINGINE

Hivi mwanaume anaanzaje kujipima na ex wake kama alishamove on!!

Hivi wasafi ya Diamond au ndo mambo ya Diamond karanga
 
Hapo ndipo utakapo jua kauli za mwanaume huwaga nzito sana na ndio maana tunapenda kukaaga kimya kujifanya wajinga ili kulinda hadhi za wenza wetu.

Kipindi Gardiner kaachana na Jide ,Jide kila siku kumponda kwenye social network na kumuongelea vibaya Gardiner mpaka kumwimba katika Ndi Ndi Ndi lakini jamaa akakaa kimya,ila siku yalipo mzidia ,Gardiner kauli yake ya maneno machache (KUKOJOZA) ,kulilipuka humu JF,Inst,FB mpaka Kigwangala akamtaka Gardiner amwombe msamaha Jide lakini Gardiner akakaza.

Leo Diamond ,Zari kamwongelea zaidi ya mwaka mzima kwenye Insta,Snapchat kutwa kumponda Mondi,interview za nyuma Mondi kila akiulizwa maswala ya Zari anapotezea,ila interview ya masaa matatu ya juzi Diamond anaonekana mkorofi na ndio maana mara nyingi wanaume tunashauriwa kupotezea sababu kauli zetu huwa nzito sababu kiasili sisi wanaume ndio wenye mamlaka hapa duniani.
 
Back
Top Bottom