Zarina Hakujiandaa kwa Shambulio la kustukiza

kabombe

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
26,152
18,739
Inaonekana wazi aliekua kimada wa mwanamuziki wa bongo fleva Nassib Abdul,Zarina Hassan Tlale,hakujiandaa kwa shambulio la kustukiza kutoka kwa baba watoto wake huyo.

Kwa sasa Zarina na genge lake wanajitahidi kumwaga fafanuzi na vijembe kwenye social media,huku aliedondosha bomu la nyukilia akiwa Korea ya kusini hana hata habari.

Zarina anajaribu kutuaminisha kwamba bila yeye Diamond asingejulikana,huu ni uongo wa mchana kweupe

Zarina anajaribu kubeza kwamba nyumba alionunuliwa,si chochote kwa kua hapo kabla hakuwahi kuishi jalalani. Ukweli ni kwamba pamoja na mbwembwe zote mitandaoni hapo kabla, Zarina hakuwahi kuishi kwenye nyumba yake huko bondeni ndio maana baada ya Diamond kufanya tathmini akaona anunue nyumba kwa ajili ya utulivu wa watoto.

Kwa sasa Zarina angejaribu kuwa mtulivu tu, na kuendelea na kazi zake pamoja na kuendelea kutupostia mabega ya huyo king bae wake. Kama anajiamini amuweke hadharani badala ya kutishia watu nyau.

Diamond huwa hana aibu wala adabu hata chembe linapokuja suala la kueleza maisha yake
 
Cha ajabu mwenzake kapiga jiwe moja tu hana habari anaendelea na maisha yake sasa yko Sauzi Korea,yeye Zari kila siku anajibu zaidi ya mara nne,kwa sisi wataalam wa saikolojia tunasema lile jiwe la Mond limemfrastreti sana bibie but anajaribu kuonyesha in public kwamba yuko strong
Tehe tehe tehe
 
Inauma sana STUPID akiona picha hizi
57488191_2232551836803825_5865937290054647927_n.jpg
 
Cha ajabu mwenzake kapiga jiwe moja tu hana habari anaendelea na maisha yake sasa yko Sauzi Korea,yeye Zari kila siku anajibu zaidi ya mara nne,kwa sisi wataalam wa saikolojia tunasema lile jiwe la Mond limemfrastreti sana bibie but anajaribu kuonyesha in public kwamba yuko strong

Nani aliyemuanza mwenzie? Apo Ndo utajua nani Ana stress na maisha ya mwenzie, domo Ana demu mpya, why anakazana na zari ?roho inamuuma Ndo bas Tena , toto lishachukuliwa na wenye wadhifa wao.
 
Zari kapata umaarufu Tanzania baada ya kuwa Dai,Zari kapata umaarufu E.A nzima baada ya kuwa na Dai.

Kapata followers kibao baada ya kuwa na Dai leo hii wabongo na wakenya wakimu_Unfollow hahaha nazani atabaki na 900K tu.

Kile chuo nadhani ni sawa na Mapinga education institute ya Sinza mapambano hakina hela😓😓.

Mwenzake anamiliki Media ambayo itamlipa mpaka anakata moto.

ALAFU MAAJUZA WENGI WA KIBONGO WANACHUKI ZA NJE NA DAI KWA KU_SIDE NA ZARI KUMBE NDANI WANAUMIA KWANINI WAO ANAWAMEGA TU KAMAKINA RUKY CUTE DORY CUTE ALAFU AKABEBE MWANAMKE OFFICIAL TAIFA JINGINE 😝😝😝
 
Na ukitaka kujua team domo wanaumia ni pale wanapomtaja Zari kila waendako. Wakubali tu wamepigwa nyumba hakuna cha hati zipo madale wala kwenye mapumbi ya mume wa mama domo
Nani aliyemuanza mwenzie? Apo Ndo utajua nani Ana stress na maisha ya mwenzie, domo Ana demu mpya, why anakazana na zari ? ***** roho inamuuma Ndo bas Tena , toto lishachukuliwa na wenye wadhifa wao.
 
Njia ambazo zinaweza kukusaidia kwenda na wakati ni pamoja na kusoma magazeti, kufanya utafiti.
Tabia za STUPID ni tabia za ujumla ambazo stupid anatakiwa kuwa nazo,lakini kama huna baadhi ya tabia hizo usifadhaike kwani ujinga ni somo na sio kipaji
Kusoma magazeti hakuwezi kukusaidia kwenda na wakati kwa hakika, kitu kinachoweza kukusaidia kwenda na wakati ni Live issues yani happening now.

Peter okoye hana umaarufu kama alionao dai kabisa "Kwa sasa" hana followers wengi nyimbo zake hazina viewers kibao, Katika A-list ya sasa Nigeria ya top 30 ya famous musicians nigeria hayumo 😏😏😏 dai keshamuacha peter ni mzee sasa ni lazima atumie busara
 
Back
Top Bottom