wambura marwa
JF-Expert Member
- Mar 7, 2015
- 2,173
- 1,127
Mange mfukunyukuKivipi mkuu?
Mange mfukunyukuKivipi mkuu?
44 yrs40-28=12 tafuta habari nyingine uje nayo.
Tamaa ya maisha watu? For your information tupo tulio na hela nyingi kuliko huyo Boss lady useme tu hatupendi ile media attention. Kwani hizo tetesi kaja nazo nani? Socialite mwenzake. Kama ujuwi mwaga mboga nimwage ugali ndio mtindo wa masocialites. Na bado, yatatubuliwa mengi. Ikikuwasha log out.
Kwani vepeeee?Tuliza povu Dada.
Kaswali kadoooogo maelezo ukurasa mzima.
Tamaa ya maisha watu? For your information tupo tulio na hela nyingi kuliko huyo Boss lady useme tu hatupendi ile media attention. Kwani hizo tetesi kaja nazo nani? Socialite mwenzake. Kama ujuwi mwaga mboga nimwage ugali ndio mtindo wa masocialites. Na bado, yatatubuliwa mengi. Ikikuwasha log out.
Gazeti tena...Hahahaaaa uwiiiiii ka vile nilikufata kona yako, mie yangu nashusha gazeti...ndivyo ilivyo..
Kumbe kuandika sentensi yenye maneno tisa kumi ndio nini tena? Akili? Uzungu? Ushua? Klasi ya juu?
Anapesa nyingi kuliko zari na mondi hahaaaaaaaaaa Dangote nae asemeje sasa
Eeeh makubwa, kituko wivu kwani ka unazo zako kwa nini ukunike na ya Zari....sijawahi kuona mtu na upwupwu wa kiasi hiki...mwenzio pia alikuwa mwanamuziki...eeeh unaumia na yake, pesa zako hazikutoshi kujipa rahaaaa uwiiii mbavu zangu eeeeh makubwa uwiiiii nakushangaaa kwa unavyotamania ya Mrs Chibu...ka vile umekatazwa kuwa kwa media...
Anza kujitsngaza humu basi watu wakuongeleee fungua na ID ingine ya jina lako... sijui ya ngapi uonekane.
[QUOTE="mz Never argue wth a fool......ka unazo zako kwa nini ukunike na ya Zari....unaumia na yake, pesa zako hazikutoshi kujipa rahaaaa uwiiii mbavu zangu eeeeh makubwa uwiiiii nakushangaaa kwa unavyotamania ya Mrs Chibu...ka vile umekatazwa kuwa kwa media.
[QUOTE="mz Never argue wth a fool......
U really r an imbecile. Nionee wivu hela gani? Nijulikane ndio iweje? Wengine tunaishi maisha yetu sio ya mashabiki kama Chibu na Sugarmom wake. I'd rather b poor & infamous than rich & famous!