Tetesi: Zari Ana mtoto wa 1988

Tamaa ya maisha watu? For your information tupo tulio na hela nyingi kuliko huyo Boss lady useme tu hatupendi ile media attention. Kwani hizo tetesi kaja nazo nani? Socialite mwenzake. Kama ujuwi mwaga mboga nimwage ugali ndio mtindo wa masocialites. Na bado, yatatubuliwa mengi. Ikikuwasha log out.


Eeeh makubwa, kituko wivu kwani ka unazo zako kwa nini ukunike na ya Zari....sijawahi kuona mtu na upwupwu wa kiasi hiki...mwenzio pia alikuwa mwanamuziki...eeeh unaumia na yake, pesa zako hazikutoshi kujipa rahaaaa uwiiii mbavu zangu eeeeh makubwa uwiiiii nakushangaaa kwa unavyotamania ya Mrs Chibu...ka vile umekatazwa kuwa kwa media...

Anza kujitsngaza humu basi watu wakuongeleee fungua na ID ingine ya jina lako... sijui ya ngapi uonekane.
 
Kwani vepeeee?Tuliza povu Dada.
Kaswali kadoooogo maelezo ukurasa mzima.

Hahahaaaa uwiiiiii ka vile nilikufata kona yako, mie yangu nashusha gazeti...ndivyo ilivyo..

Kumbe kuandika sentensi yenye maneno tisa kumi ndio nini tena? Akili? Uzungu? Ushua? Klasi ya juu?
 
Tamaa ya maisha watu? For your information tupo tulio na hela nyingi kuliko huyo Boss lady useme tu hatupendi ile media attention. Kwani hizo tetesi kaja nazo nani? Socialite mwenzake. Kama ujuwi mwaga mboga nimwage ugali ndio mtindo wa masocialites. Na bado, yatatubuliwa mengi. Ikikuwasha log out.
 
Hahahaaaa uwiiiiii ka vile nilikufata kona yako, mie yangu nashusha gazeti...ndivyo ilivyo..

Kumbe kuandika sentensi yenye maneno tisa kumi ndio nini tena? Akili? Uzungu? Ushua? Klasi ya juu?
Gazeti tena...
Wewe sio mzima kichwani,kuna nati zimekata.
Sio bure
 
Eeeh makubwa, kituko wivu kwani ka unazo zako kwa nini ukunike na ya Zari....sijawahi kuona mtu na upwupwu wa kiasi hiki...mwenzio pia alikuwa mwanamuziki...eeeh unaumia na yake, pesa zako hazikutoshi kujipa rahaaaa uwiiii mbavu zangu eeeeh makubwa uwiiiii nakushangaaa kwa unavyotamania ya Mrs Chibu...ka vile umekatazwa kuwa kwa media...

Anza kujitsngaza humu basi watu wakuongeleee fungua na ID ingine ya jina lako... sijui ya ngapi uonekane.
ka unazo zako kwa nini ukunike na ya Zari....unaumia na yake, pesa zako hazikutoshi kujipa rahaaaa uwiiii mbavu zangu eeeeh makubwa uwiiiii nakushangaaa kwa unavyotamania ya Mrs Chibu...ka vile umekatazwa kuwa kwa media.
[QUOTE="mz Never argue wth a fool......
U really r an imbecile. Nionee wivu hela gani? Nijulikane ndio iweje? Wengine tunaishi maisha yetu sio ya mashabiki kama Chibu na Sugarmom wake. I'd rather b poor & infamous than rich & famous!
 
[QUOTE="mz Never argue wth a fool......
U really r an imbecile. Nionee wivu hela gani? Nijulikane ndio iweje? Wengine tunaishi maisha yetu sio ya mashabiki kama Chibu na Sugarmom wake. I'd rather b poor & infamous than rich & famous!

Ha ha haaaaaaaa lakini umenikwoti na kutoa mapovu yako kama kawaida, ungepita kimya kimya usingekuwa uliyonisema ila ndio hibyo eeeeehhhh...wivu umekujaaaaaa watamani kuwa wao eeeeee...wewe ndio tena kama unasema mie hivyo basi umekubuu katika kuwa big half*wit na mo*ro*n lilio kubuu ndio ukafikiri nami hivyo hivyo...kaa chini jiangalie eeeeeeh kituko cha karne zote...eeeeeeee mapovu mengi wanakugusa rohoni na bado... Na ndio maana unatukana... Unalooooooooooooo bora uwe shabiki tu maisha yanakuwa matamu...eeeeeh
 
Back
Top Bottom