Zanzibar: Wafanyabiashara wadaiwa kukwama kushusha Mizigo baada ya Ubinafsishaji wa Bandari ya Malindi kupandisha Ushuru kwa 100%

Miss Zomboko

JF-Expert Member
May 18, 2014
4,502
9,282
Wafanyabiashara wa Nafaka na Matunda waoshusha mizigo yao katika Bandari ya Malindi wakitokea Tanzania Bara, wamekwama kushusha Bidhaa kutokana na kupanda kwa ushuru wa utoaji wa Mizigo

Mfanyabiashara Hassan Hamad anasema Mzigo wake umekwamba kwasababu Ushuru ulioletwa hakuwa na taarifa nao ambapo anasema Mzigo aliokuwa analipia Tsh. 56,000 sasa hivi ametakiwa kulipia zaidi ya Tsh. 240,000

Mgomo huo umekuja baada ya siku moja serikali ya Zanzibar, kubinafsisha shughuli za utendaji wa bandari ya Malindi kwa Kampuni ya African Global Logistics (AGL) ya Ufaransa.

Wakizungumza na waandishi wa habari wafabiashara hao wamesema kimsingi wafanyabiashara hawakatai, Bandari kubinafsishwa lakini serikali inapaswa kuwawekea mazingira wezeshi ili kumudu biashara zao bila ya vikwazo vya ushuru

Akizungumzia mgogoro huo Afisa Uhusiano wa Shirika la Bandari Zanzibar, Hassan Amour amesema viwango hivyo vya ushuru vipo tokea zamani lakini vilikuwa havitumiki ili kuwapa unafuu wafanyabiashara hao.

Hata hivyo amesema baada ya kuingia uongozi mpya wa kampuni ya AGL ya Ufarasa, walihitaji kukabidhiwa kumbukumbu zote za nyaraka za uendeshaji ikiwemo na tozo bandarini hapo na kuanza kuzitumia.

Awali Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar, Joseph Meza, akizungumza na waandishi wa habari, amesema kubinafsishwa kwa shughuli za bandari ya Malindi kutaongeza ufanisi ikiwemo makontena ya mizigo kutolewa kwa muda muwafaka.


Nipashe/IPP Media
 
Wafanyabiashara wa Nafaka na Matunda waoshusha mizigo yao katika Bandari ya Malindi wakitokea Tanzania Bara, wamekwama kushusha Bidhaa kutokana na kupanda kwa ushuru wa utoaji wa Mizigo

Mfanyabiashara Hassan Hamad anasema Mzigo wake umekwamba kwasababu Ushuru ulioletwa hakuwa na taarifa nao ambapo anasema Mzigo aliokuwa analipia Tsh. 56,000 sasa hivi ametakiwa kulipia zaidi ya Tsh. 240,000

Mgomo huo umekuja baada ya siku moja serikali ya Zanzibar, kubinafsisha shughuli za utendaji wa bandari ya Malindi kwa Kampuni ya African Global Logistics (AGL) ya Ufaransa.

Wakizungumza na waandishi wa habari wafabiashara hao wamesema kimsingi wafanyabiashara hawakatai, Bandari kubinafsishwa lakini serikali inapaswa kuwawekea mazingira wezeshi ili kumudu biashara zao bila ya vikwazo vya ushuru

Akizungumzia mgogoro huo Afisa Uhusiano wa Shirika la Bandari Zanzibar, Hassan Amour amesema viwango hivyo vya ushuru vipo tokea zamani lakini vilikuwa havitumiki ili kuwapa unafuu wafanyabiashara hao.

Hata hivyo amesema baada ya kuingia uongozi mpya wa kampuni ya AGL ya Ufarasa, walihitaji kukabidhiwa kumbukumbu zote za nyaraka za uendeshaji ikiwemo na tozo bandarini hapo na kuanza kuzitumia.

Awali Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar, Joseph Meza, akizungumza na waandishi wa habari, amesema kubinafsishwa kwa shughuli za bandari ya Malindi kutaongeza ufanisi ikiwemo makontena ya mizigo kutolewa kwa muda muwafaka.


Nipashe/IPP Media
Dah alafu wanahimiza vijana wajiajiri kwakweli hali ni mbaya aisee kila kitu wanajiskumizia wao ila sawa alafu anatokea boya anasema hakuna siku ya hukumu kwa dhulma hizi
 
Wafanyabiashara wa Nafaka na Matunda waoshusha mizigo yao katika Bandari ya Malindi wakitokea Tanzania Bara, wamekwama kushusha Bidhaa kutokana na kupanda kwa ushuru wa utoaji wa Mizigo

Mfanyabiashara Hassan Hamad anasema Mzigo wake umekwamba kwasababu Ushuru ulioletwa hakuwa na taarifa nao ambapo anasema Mzigo aliokuwa analipia Tsh. 56,000 sasa hivi ametakiwa kulipia zaidi ya Tsh. 240,000

Mgomo huo umekuja baada ya siku moja serikali ya Zanzibar, kubinafsisha shughuli za utendaji wa bandari ya Malindi kwa Kampuni ya African Global Logistics (AGL) ya Ufaransa.

Wakizungumza na waandishi wa habari wafabiashara hao wamesema kimsingi wafanyabiashara hawakatai, Bandari kubinafsishwa lakini serikali inapaswa kuwawekea mazingira wezeshi ili kumudu biashara zao bila ya vikwazo vya ushuru

Akizungumzia mgogoro huo Afisa Uhusiano wa Shirika la Bandari Zanzibar, Hassan Amour amesema viwango hivyo vya ushuru vipo tokea zamani lakini vilikuwa havitumiki ili kuwapa unafuu wafanyabiashara hao.

Hata hivyo amesema baada ya kuingia uongozi mpya wa kampuni ya AGL ya Ufarasa, walihitaji kukabidhiwa kumbukumbu zote za nyaraka za uendeshaji ikiwemo na tozo bandarini hapo na kuanza kuzitumia.

Awali Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar, Joseph Meza, akizungumza na waandishi wa habari, amesema kubinafsishwa kwa shughuli za bandari ya Malindi kutaongeza ufanisi ikiwemo makontena ya mizigo kutolewa kwa muda muwafaka.


Nipashe/IPP Media


Nafikiri wametanguliza Zanzibar kurasimisha huku, ila waelewe Kabisa, performance ya Zanzibar itakuwa worse na italeta mazingira worse kabisa ya ushawishi kwa ajili ya bandari ya Tanganyika.
 
ZANZIBAR: UBINAFSISHAJI WA BANDARI YA MALINDI WADAIWA KUPANDISHA USHURU KWA 100%

Mfanyabiashara, Hassan Hamad anasema Mzigo wake umekwama kwasababu Ushuru ulioletwa hakuwa na taarifa nao ambapo anasema Mzigo aliokuwa analipia Tsh. 56,000 sasa hivi ametakiwa kulipia zaidi ya Tsh. 240,000

Aidha, Afisa Uhusiano wa Shirika la Bandari Zanzibar, Hassan Amour amesema viwango hivyo vya ushuru vilikuwepo tangu zamani lakini vilikuwa havitumiki ili kuwapa unafuu Wafanyabiashara

Hassan amesema baada ya kuingia Uongozi mpya wa Kampuni ya AGL ya Ufaransa, walikabidhiwa nyaraka zote za Uendeshaji na kuanza kuzitumia

Soma Zanzibar: Wafanyabiashara wadaiwa kukwama kushusha Mizigo baada ya Ubinafsishaji wa Bandari ya Malindi kupandisha Ushuru kwa 100%

#JamiiForums #Governance #JFHuduma #ServiceDelivery
FB_IMG_1695203175142.jpg
 
Kama serikali inasema hizo bei zilikuwepo ila wananchi walipangiwa tu bei ndogo sawa

Inajukikana kampuni inapoanza kazi huanza na utaratibu wao
Wapo wanaofukuza kabisa na wafanyakazi na kuajiri upya kwa mshahara wanaotaka wao kwa maslahi yao

Na wapo wanaoingia mikataba mipya
Ni kawaida sana hata nchi zilizoendelea makodi hayaishi na kila siku makampuni yanafanya wanavyoona ina maslahi nayo huku serikali zikifurahia kodi

The more you earn the more the tax you pay
 
Watanganyika poleni na bado bara kazi ikianza kote kote itakua moto kwa watanganyika.
 
Wafanyabiashara wa Nafaka na Matunda waoshusha mizigo yao katika Bandari ya Malindi wakitokea Tanzania Bara, wamekwama kushusha Bidhaa kutokana na kupanda kwa ushuru wa utoaji wa Mizigo

Mfanyabiashara Hassan Hamad anasema Mzigo wake umekwamba kwasababu Ushuru ulioletwa hakuwa na taarifa nao ambapo anasema Mzigo aliokuwa analipia Tsh. 56,000 sasa hivi ametakiwa kulipia zaidi ya Tsh. 240,000

Mgomo huo umekuja baada ya siku moja serikali ya Zanzibar, kubinafsisha shughuli za utendaji wa bandari ya Malindi kwa Kampuni ya African Global Logistics (AGL) ya Ufaransa.

Wakizungumza na waandishi wa habari wafabiashara hao wamesema kimsingi wafanyabiashara hawakatai, Bandari kubinafsishwa lakini serikali inapaswa kuwawekea mazingira wezeshi ili kumudu biashara zao bila ya vikwazo vya ushuru

Akizungumzia mgogoro huo Afisa Uhusiano wa Shirika la Bandari Zanzibar, Hassan Amour amesema viwango hivyo vya ushuru vipo tokea zamani lakini vilikuwa havitumiki ili kuwapa unafuu wafanyabiashara hao.

Hata hivyo amesema baada ya kuingia uongozi mpya wa kampuni ya AGL ya Ufarasa, walihitaji kukabidhiwa kumbukumbu zote za nyaraka za uendeshaji ikiwemo na tozo bandarini hapo na kuanza kuzitumia.

Awali Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Bandari Zanzibar, Joseph Meza, akizungumza na waandishi wa habari, amesema kubinafsishwa kwa shughuli za bandari ya Malindi kutaongeza ufanisi ikiwemo makontena ya mizigo kutolewa kwa muda muwafaka.


Nipashe/IPP Media
Wapambane na pembe lao na sisi tuna ya kwetu.
 
Nakumbuka ilikuwa nikija Unguja siku ya kuondoka nanunua ile 5kg ya sukari kuleta zawadi home bara.

Siku hizi watu wananunua sukari bara wanaondoka nayo to Zanzibar do!, maisha haya 😅!
 
Nakumbuka ilikuwa nikija Unguja siku ya kuondoka nanunua ile 5kg ya sukari kuleta zawadi home bara.

Siku hizi watu wananunua sukari bara wanaondoka nayo to Zanzibar do!, maisha haya 😅!
Ndio maana Karume amewapigia kelele hadi wamemfukuza chama.

Mwinyi na Samia watamaliza vibaya, ni mapacha wa nje
 
Back
Top Bottom