jjmafulo
Member
- Sep 7, 2016
- 60
- 68
Futa kabisa na vyama vya upinzani tanzania si tunajitekenya huku tunacheka wenyewe futa chadema futa cuf fuka nccr mageuzi futa mfumo wa vyama vingi weka CCM tu kwenye katiba ya jamuhuri Ya muungano afu tuishi hivi hivi ccm oyeeeeeee msajiri wa vyama nchini piga kazi