Zanzibar: Simai Mohamed Said, Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale ajiuzulu siku mbili baada ya kutangaza uhaba wa pombe kwenye hoteli na migahawa

Saudi wenyewe mwana mfalme ameruhusu uuzwagi wa pombe katk mahoteli kwa Wana diplomasia tu
 
View attachment 2883087


Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.

“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.”

Mimi nadhani kama imani ya wazanzibar haiendani na TAMADUNI za watalii,hawataki pombe, hawataki watalii wafanye mapenzi, hawatakiw atalii wavae watakavyo basi wafunge kabisa utalii.
, NI BORA WAFUNGE KABISA SWALA LA UTALII KWA WASIO WA IMANI YAo,, waache unafki
Simai ni shujaa.

Imani imani kitu gani kama siyo unafiki wao wavaa kobazi.

Mwezi wao huwa bar, gesti na kitimoto biashara zinakuwa ngumu, maana wao ndo watumiaji wakubwa.

Pombe ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wetu. Pombe inasaidia serikali iweze kujenga zahanati, barabara ,shule, masoko n.k

Nikiwa rais, hizi imani za kigeni nitazifutilia mbali. Bora tuendelee kuabudu mababu zetu(mizimu).
 
Inasemekana eti! "sababu zake za kujiuzulu akizifanya siri ,sisi tunafahamu moja ya sababu za kukaa kwake pembeni ni kuchoshwa na tabia ya kuingiliwa na Ikulu kwenye kufanya majukumu ya wizara yake kama waziri na watu ambao siyo viongozi wa serikali bali ni watu walioko karibu na Rais Mwinyi na Ikulu ya Zanzibar."-Kigogo Media
 
View attachment 2883087


Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.

“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.”

Mimi nadhani kama imani ya wazanzibar haiendani na TAMADUNI za watalii,hawataki pombe, hawataki watalii wafanye mapenzi, hawatakiw atalii wavae watakavyo basi wafunge kabisa utalii.
, NI BORA WAFUNGE KABISA SWALA LA UTALII KWA WASIO WA IMANI YAo,, waache unafki
Unafiki mtupu........kutafuta Kiki tu
 
Hii ni kesi ya ZMMI na QMB..
Kuna uhuni sana QMB wana miezi zaidi ya mitano na tetesi zinasema wamelipa maokoto na bado container zao zote za vileo zimezuiwa.
 
View attachment 2883087


Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.

“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni. Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.”

Mimi nadhani kama imani ya wazanzibar haiendani na TAMADUNI za watalii,hawataki pombe, hawataki watalii wafanye mapenzi, hawatakiw atalii wavae watakavyo basi wafunge kabisa utalii.
, NI BORA WAFUNGE KABISA SWALA LA UTALII KWA WASIO WA IMANI YAo,, waache unafki
Ma shaa Allah kafanya la maana sana, kama sababu ni hiyo.
 
Simai ni shujaa.

Imani imani kitu gani kama siyo unafiki wao wavaa kibazi.

Mwezi wao huwa bar na kitimoto biashara zinakuwa ngumu, wao ndo watumiaji wakubwa.

Pombe ndiyo utu wa mgongo wa uchumi wetu. Pombe inasaidia serikali iweze kujenga zahanati, barabara ,shule, masoko n.k

Nikiwa rais, hizi imani za kigeni nitazifutilia mbali. Bora tuendelee kuabudu mababu zetu.
Imani sio tatizo na misimamo ni ruksa..., lakini usilete Imani zako na misimamo yako kwenye maisha ya wengine..., to each their own....
 
Imani yake wapi na wapi ? Wakati anachukua hio kazi hakujua kwamba Zanzibar Watalii wapo na Pombe zinaruhusiwa ?!!! Aende akatafute kazi Msikitini.....

Ningemuona wa maana in the first place kama asingechukua kazi na sio kuchukua kazi na kuharibu (Ni taharuki ngapi ameleta)
Wabara ndo mana mtazidi kuwa maskini na kukosa maendeleo hadi kiama. Uongozi ni utumishi sio ajira. Mawazo yenu ya kuwaza uongozi ni ajira ndo mana mnaendekeza maslahi binafsi na mnashindwa kusimamia ukweli kwenye masuala ya msingi.

Hongera sana kwa huyu Waziri aliyejiuzuru. Anaonekana tu ni mtu smart na ndo mana Zanzibar inapiga hatua sana kwenye maendeleo. Inaelekea Mwinyi anajali sana smartness kuliko machawa na watu maslahi
 
Nlivyoiona taarifa ya uhaba wa pombe, na utamaduni wa Zanzibar ulivyo, nilishangaa na kuhisi labda Zanzibar inaelekea kwenyeabadiliko makubwa kiutamaduni.
 
Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Simai Mohamed Said ametangaza kujiuzulu nafasi hiyo leo usiku.

Mhe. Simai ambaye pia ni Mwakilishi wa Jimbo la Tunguu kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, ametangaza kujiuzulu akisema ni kutokana na kile alichokiita "MAmazingira yasiyo rafiki ya kazi."
---

Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, Simai Mohamed Said amemuandikia Rais Dkt. Hussein Mwinyi barua ya kujiuzulu nafasi hiyo.

“Nimefikia uamuzi huu ambao hapa kwetu si rahisi katika utamaduni wetu. Kutokana na imani yangu kwamba jukumu namba moja la wasaidizi wa Mheshimiwa Rais wakiwemo Mawaziri ni kumsaidia kutekeleza Ilani ya chama, na inapotokea mazingira yasiyo rafiki katika kutekeleza jukumu hilo muhimu kwa ustawi wa wananchi, ni vyema kutafuta jawabu kwa haraka ili kazi ya kuwaletea wananchi maendeleo iweze kuendelea, na hata ikibidi kukaa pembeni.

Mimi nimefikia uamuzi huo mgumu wa kukaa pembeni.” - sehemu ya taarifa yake ya kujiuzulu


Siku mbili zilizopita, Januari 24 Waziri huyo mwenye dhamana ya Utalii alitangaza uhaba wa pombe katika hotel na migahawa

“masikitiko yamekuwa makubwa na imenibidi niitishe kikao kwa sababu nimeanza kunyooshewa mkono na Wadau, mimi kama Baba wa Mahoteli na Migahawa lazima nionane nao kwani Sekta ya utalii si vyema ikachezewachezewa”

“Tumeona maamuzi ya Bodi ya Vileo Zanzibar imewaondosha wale waliokua wanahusika kama ZMMI, Scoch na One Stop, nimeanza kuona athari hoteli nyingi wameanza kukosa huduma ya Vinywaji baada ya Bodi ya Vileo kufanya maamuzi hayo, niwaombe Wawekezaji waendelee kuwa Wavumilivu wakati huu ikitazamwa namna ya kutatua jambo hili”

Mwisho wa kunukuu. Zaidi soma Waziri: Zanzibar inakabiliwa na upungufu wa Pombe kwenye Mahoteli
anayo hoja ndugu waziri 🐒
 
Nlivyoiona taarifa ya uhaba wa pombe, na utamaduni wa Zanzibar ulivyo, nilishangaa na kuhisi labda Zanzibar inaelekea kwenyeabadiliko makubwa kiutamaduni.
Kwani zenji pombe hamna ? Kama hujawahi kufika basi unadanganywa ..Zenji pombe zipo miaka kibao kwa sababu ya utalii...Zenji hawana ubaguzi watu kibao wanatoka bara wanaenda kufanya biashara za kujiuza kwa watalii


Zenji jaribu kufika utaona huku bara tunaleta porojo...zenji wapo peace kwa sana ...
 
Pombe huku bara si ipo nyingi jamani, si wapeleke tu, watu wapate maokoto wakati wengine wanapata starehe zao na maisha yaendelee?! 😄
 
Back
Top Bottom