Mkuu huku watu wanajiandaa na uchaguzi wa marudio. Hata hivyo cuf imesimamia msimamo wa kutoshiriki isipokuwa wagombea ubunge na udiwani wengi kutoka cuf wanapita nyumc kwa nyumba ili kuwaeleza watu wawapigie kura na ikitokea wamepita waseme 'ilitokea kwa bahati mbaya lakini sikupenda' Tatizo njaa ndo zinasababisha kukosa msimamo.Waungwana mliopo zenji tunaomba updates za huko,au mitandao haifanyi kazi..
Za masiku ndugu,Kosa langu kusema? Au kosa LA CCM kuifanya zenji km Syria? Maamuzi ya wazanzibar kuwa ktk aman ama vita iko mikoni mwa tanganyika wala si mungu
Unajua sababu za kuwepo hapo Serena? Alifika hapo akitokea wapi?Twende kwenye Mada,
Zanzibar hali si shwari, mabomu yameripotiwa kulipuka sehemu kadhaa visiwani humo, nyumba zimechomwa moto huko
pemba nk.
Swali nalouliza, maalim seif yuko daresalaam katika hotel ya serena.
Kama kiongozi ambaye amekuwa akitahadharisha serikali kuwa hali ya machafuko inaweza tokea kama mchakato wa kumtangaza kama mshindi rasmi wa urais wa zanzibar, na kweli kuelekea tarehe ya Uchaguzi visiwani humo, mambo hayo yameanza kujitokeza.na yeye maalim katika hali isiyoeleweka ameendelea kuishi serena hotel,
Je ndio kukimbia kwenyewe au?
Kama ni mapumziko baada ya matibabu, kwani nyumbani kwake zanzibar hawezi kupumzika?.
Je itakuwaje akae hotelini kwa gharama za serikali ambayo haitambui?
View attachment 329946
Najua bila ya kumtaja Lowassa hauli ukashiba, lakini hebu tujadili kimantiki, kwani ni halali kwa askari kutumia zana za kivita kwa raia wa nchi yao? Hujui kwamba JWTZ inatamkwa kwamba ni jeshi la kulinda mipaka ya nchi yetu, unaelewa maana yake?Kama kulinda nchi yetu dhidi ya watu wabaya na walafi kama fisadi Lowasa &Co. unaita ni ukandamizaji basi na iwe hivyo!
Kama kulinda nchi yetu dhidi ya watu wabaya na walafi kama fisadi Lowasa &Co. unaita ni ukandamizaji basi na iwe hivyo!
Naona wewe ni mbaya kuliko Lowassa kwa sababu hata haiijui haki. MMEAMUA KUIHARIBU NCHI
Tunaitengeneza nchi yetu na wala hatauiharibu kazi ya kuichukuwa nchi ktk kwa Mafisadi siyo rahisi lkn tumeshawashinda!
Ndiyo kwanza tumeanza kuwachana watanyooka tu ngoja tujiweke sawa bunduki zipo nyingi na risasi za kutosha sisi kazi yetu kuwatwanga tu.
UshabikiMkuu huku watu wanajiandaa na uchaguzi wa marudio. Hata hivyo cuf imesimamia msimamo wa kutoshiriki isipokuwa wagombea ubunge na udiwani wengi kutoka cuf wanapita nyumc kwa nyumba ili kuwaeleza watu wawapigie kura na ikitokea wamepita waseme 'ilitokea kwa bahati mbaya lakini sikupenda' Tatizo njaa ndo zinasababisha kukosa msimamo.
Wewe ulitakaje labda!? Na kazi ya Askari ni nini!? Ulitaka waende kwa hao watovu wa Nidhamu na tende mkononi....wao wakitupa mawe Askari wawarushie tende!!!! Tii sheria bila SHURTI.Askari anakwendaje kwa raia wa nchi yake akiwa na silaha za kivita?
Well said mkuuWewe ulitakaje labda!? Na kazi ya Askari ni nini!? Ulitaka waende kwa hao watovu wa Nidhamu na tende mkononi....wao wakitupa mawe Askari wawarushie tende!!!! Tii sheria bila SHURTI.
Kinachotokea zanzibar kinasikitisha sana,Walishasema hawataachia kwa nchi kwa karatasi sasa acha mtutu ufanye kazi.
Hizo bunduki na mabomu yapo kila mahali au hawa viongozi wa kibongo wanafikiri wanazo wao tu.
Hapa ndiyo pale mzungu anapofurahiaga kwa kuuza silaha na kubeba rasilimali za nchi kiulainii kisha anatuachia urithi wa vita vya wenyewe kwa wenyewe
Mods huyu apigwe ban, hakuna kitu hicho na picha za vurugu hizo ni za miaka ya nyuma sana.Pemba hali ni tete, vurugu kati ya maafsaa wa polisi na raia zimeripotiwa hii Leo huku mamia ya wapemba wakikimbilia Mombasa katika nchi jirani ya Kenya.
Ikumbukwe vurugu hizi zinakuja ikiwa ni Siku moja tu baada ya Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi visiwani humo ndugu Jecha kutoa waraka wake kwa vyombo vya habari kuwa hali ya usalama visiwani humo ni salama na Amani.
Mungu iepushe Tanzania na haya majanga
Apigwe ban haraka kabla hajachafua hali ya hewa! Mjinga sana huyu.Hiyo sio Pemba jamani wacheni kutudanganya, hiyo ni Unguja na inaonekana hizo Picha sio za Jana wala leo. Ukiangalia kuna Daladala ya KIJICHI-SPICE (511). Mleta mada tuambie ukweli, hali ya Pemba haiko ivo.