kama unanituhumu nipeleke polisi wanichunguze kupitia huu mtandao ukiweza kutumia akili huto kuwa mtumwa wa kiakili
sitaki kuambiwa wala kuamini eti walompiga risasi padre nimajambazi au niwatu wasiojulokana hao naamini kabisa ni WAISLAMU!
Naona unajiliwaza na kujifariji mauji ya Mwembechai nayo alikuwa Kikwete.
Ayo ni mawazo yako na yanatakiwa ya heshimiwe. Ila na mimi muyaheshimu mawazo yangu kua kilicho muua paroko ni wivu wa mapenzi. Kazoea kugonga wake za watu, sasa kakutana na wanao miliki cha MOTO ( bunduki )
Imani yetu ya kiislam muuwaji ana uhakika wa mabikira 72 ahera[/QUOTE :Hujaeleza vizuri kwa mujibu wa imani yetu,Hao mabikra macho yao kama mayai ya mbuni,makalio yao yalivyo makubwa sawa na kontena futi arobaini,mwanaume zakari hailali mwanzo mwisho,na mito ya pombe unachagua upendayo.
Hii nchi hii..!, kazi ya mahubiri ya Sheikh Ilunga imeanza kuonekana....
Kabisa mkuu,huyu mtu hatari sana
Ayo ni mawazo yako na yanatakiwa ya heshimiwe. Ila na mimi muyaheshimu mawazo yangu kua kilicho muua paroko ni wivu wa mapenzi. Kazoea kugonga wake za watu, sasa kakutana na wanao miliki cha MOTO ( bunduki )
Tumeona waislam wa nchi za uarabuni wanaoijua dini hata siku moja awafanyi ujinga huu hawa wa Zanzibar leo wanajiona wanajua sana dini?
Padri Evarist Mushi, ambaye ni paroko wa parokia ya Minara Miwili - Mtoni Zanzibar amepigwa risasi na watu wasiojulikana leo mida ya saa moja asubuhi akielekea kanisani kuongoza ibada.
Source: Radio Wapo
So RIP kama ni kweli.