BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
kidumu chama cha mapinduzi
zidumu sera za uchochezi wa kidini zilizoshikilia chama
zidumu sera za uchochezi wa kidini zilizoshikilia chama
Polisi waende mbali zaidi, walianza na kumpiga risasi padre Kimaro, leo Padre Mushi kulikoni?
pole sana kama una mawazo haya ambayo me nimeya-highlite
kwa wapenda amani wote,TUITANGAZE ZANZIBAR NI ENEO HATARISHI KWA WAKRISTO
Polisi waende mbali zaidi, walianza na kumpiga risasi padre Kimaro, leo Padre Mushi kulikoni?
Hakuna uhusiano na ujambazi kweli? Mi nikiona jina la wakina mushi imani yangu hupotea kabisa
Hapa tu ushatoa picha kamili hata kwa asiyeelewa, na inaonekana una furaha sana, hongera.kama ilivyo huku bara TANGANYIKA SI ENEO SALAMA KWA WAISLAM,KILA SIKU MASHUSHUSHU WANATUSUMBUA MISIKITINI,WENGINE WAKRISTO WANAJIFANYA KUJA KUSWALI ILI KUTUSKIZA TUNAZUNGUMZA NIN?
Them Islams can do anything in the name of religion. Upole wa waKristo itakula kwao mkidhani hawa jamaa siku wataacha kisa hamlipizi basi endeleeni kusubiri hadi muishe, wao nia yao nikuwamaliza wote. Hata kwa nchi za kiislamu fully hawaelewani wao wenyewe kama huko Malí, Iraq, syria n.k