Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Pole sana Pd. Ambrose Mkenda.
Kim ,
Shida watu wanaumwa bado na propaganda za udini. Ila wakristo ndugu zanguni ni vema mtafakari hili swala la mfumo kristo nchini. Ubaguzi unaondelea unajenga chuki na matabaka na mwishoe kila jambo linatfsiriwa kwa udini na chuki.
Nilikuwapo
Labda hayo ni majibu ya hao jamaa kufuatia tamko la maaskofu leo. Muda sio mrefu chini ya utawala huu dhaifu wa CCM tutaanza kusikia vikundi vya kihalifu vikiuwa halafu kujitangaza rasmi kuhusika na mauaji hayo sawa sawa na ilivyo Pakistan, Afghanistan, Palestine na kwingineko. Yetu macho.
Hakufa, ila amejeruhiwa kwa risasi.Oooh my god! R.I.P!
TUMBIRI (Upanga, Dar es Salaam - Tanzania),
tumbiri@jamiiforums.com
Mkuu Mali ya Baba, hiyo habari ime editiwa. Pitia vizuri utaona hilo, niliuliza kabla haijawa edited.
Labda kama ni maandishi mybe i wasnt paying attention.ila kwasasa sioni maandishi na tamthilia a woman of steel ndo iko hewani.
Na ninajua kama ni maandishi hawaweki jina la repota.sasa mtu anajuaje kuwa ni farid ndo karipoti.?
mkuu unatia aibu kwa maelezo yako
Itv ya saa ngapi mbona mi naangalia itv sijaona?
hata mimi hzi kelelmimi Kama mtanganyika nimechoshwa na haka kakisiwa cha unguja... Muunganomuungano tumechoka hatuutaki
Dah! Aisee nimeiona hii habari kupitia I.T.V wakati tamthilia inaendelea wakawa wanapitisha mkanda wa maandishi...Mungu amsaidie dah! Sijui tunaenda wapi jamani sasa
Labda kama ni maandishi mybe i wasnt paying attention.ila kwasasa sioni maandishi na tamthilia a woman of steel ndo iko hewani.
Na ninajua kama ni maandishi hawaweki jina la repota.sasa mtu anajuaje kuwa ni farid ndo karipoti.?
Labda kama ni maandishi mybe i wasnt paying attention.ila kwasasa sioni maandishi na tamthilia a woman of steel ndo iko hewani.
Na ninajua kama ni maandishi hawaweki jina la repota.sasa mtu anajuaje kuwa ni farid ndo karipoti.?
uwo mfumo kristo ni upi mnao usema!