Zanzibar Nyama ni Elfu 13 kwa Kilo, Tanzania Bara ni Elfu 6-7 kwa Kilo

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,900
944

MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO

"Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda Zanzibar, ipo tozo ya TRA, TPA, tozo ambayo inaitwa export leave ambayo hata Mkenya akija kununua ngombe anampeleka Kenya hii anachajiwa, ambayo na Mzanzibar anachajiwa," - Mhe. Juma Usonge

"Tozo ambazo zimekuwa kichefuchefu kwa Zanzibar na zinazopelekea bei ya nyama kuwa nzito, kuna tozo inaitwa Wizara ya Mifugo inayotoza ng'ombe anayepelekwa Zanzibar, ikiwezekana hii ifutwe kabisa na isamehewe, sote ni nchi moja na tunafanya kazi kwa pamoja,"- Mhe. Juma Usonge

"Bei ya nyama ukilinganisha Bara na Zanzibar ni tofauti sana, Bara nyama inanunuliwa kwa kilo moja ni elfu 6 hadi elfu 7, lakini Zanzibar kilo moja ya nyama unanunua kwa shilingi elfu 13 na kuendelea, yote hii inasababishwa na Wizara haijaamua kusamehe baadhi ya tozo,"- Mhe. Juma Usonge.

FvNho5XWIAY4QKm.jpg
 
Wakubali tu daraja lijengwe halafu lorry zangu ziwe zinapeleka ng'ombe na mbuzi kila wiki

Kuna watu wanaona ni fursa ila wengine wanaona watatawaliwa zaidi

Ajira hakuna halafu utakuta mtu mwaka mzima anakula samaki tu na nyama haijui kabisa
 

MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO

"Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda Zanzibar, ipo tozo ya TRA, TPA, tozo ambayo inaitwa export leave ambayo hata Mkenya akija kununua ngombe anampeleka Kenya hii anachajiwa, ambayo na Mzanzibar anachajiwa," - Mhe. Juma Usonge

"Tozo ambazo zimekuwa kichefuchefu kwa Zanzibar na zinazopelekea bei ya nyama kuwa nzito, kuna tozo inaitwa Wizara ya Mifugo inayotoza ng'ombe anayepelekwa Zanzibar, ikiwezekana hii ifutwe kabisa na isamehewe, sote ni nchi moja na tunafanya kazi kwa pamoja,"- Mhe. Juma Usonge

"Bei ya nyama ukilinganisha Bara na Zanzibar ni tofauti sana, Bara nyama inanunuliwa kwa kilo moja ni elfu 6 hadi elfu 7, lakini Zanzibar kilo moja ya nyama unanunua kwa shilingi elfu 13 na kuendelea, yote hii inasababishwa na Wizara haijaamua kusamehe baadhi ya tozo,"- Mhe. Juma Usonge.

Waongeze kwenye kero za muungano zifikie 100 ni zamu Yao kama ilivyopita zamu ya Chattle!
 
Zanzibar ni nchi au wamesahau hilo? Hivo ni lazima walipe kodi wala wasilete kudeka, kama wanaweza na wao wafuge tu ng’ombe wao maana hata watanganyika wakinunua vitu zanzibar bado hulipa kodi kama kawaida
 
Kama nyama ya ng'ombe Ni 13000, Ile pendwa inayoliwa na matajiri wa Zanzibar itakua sh ngapi?
 

MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO

"Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda Zanzibar, ipo tozo ya TRA, TPA, tozo ambayo inaitwa export leave ambayo hata Mkenya akija kununua ngombe anampeleka

MHE. JUMA USONGE - ZANZIBAR NYAMA NI ELFU 13 KWA KILO, TANZANIA BARA NI ELFU 6-7 KWA KILO

"Ipo tozo ya halmashauri, ipo tozo ya kijiji ambayo inachajiwa kwa ng'ombe yuleyule mmoja anayeenda Zanzibar, ipo tozo ya TRA, TPA, tozo ambayo inaitwa export leave ambayo hata Mkenya akija kununua ngombe anampeleka Kenya hii anachajiwa, ambayo na Mzanzibar anachajiwa," - Mhe. Juma Usonge

"Tozo ambazo zimekuwa kichefuchefu kwa Zanzibar na zinazopelekea bei ya nyama kuwa nzito, kuna tozo inaitwa Wizara ya Mifugo inayotoza ng'ombe anayepelekwa Zanzibar, ikiwezekana hii ifutwe kabisa na isamehewe, sote ni nchi moja na tunafanya kazi kwa pamoja,"- Mhe. Juma Usonge

"Bei ya nyama ukilinganisha Bara na Zanzibar ni tofauti sana, Bara nyama inanunuliwa kwa kilo moja ni elfu 6 hadi elfu 7, lakini Zanzibar kilo moja ya nyama unanunua kwa shilingi elfu 13 na kuendelea, yote hii inasababishwa na Wizara haijaamua kusamehe baadhi ya tozo,"- Mhe. Juma Usonge.

Kule zanzibar,waunguja wachache sana wana priviledge ya kula nyama ya ng'ombe...yaani huwa inapita hata miezi mitatu familia hazijala nyama...yaani hali ya umasikini zanzibar ni kubwa sana
 
Back
Top Bottom