Zanzibar na hatima ya Muungano ni hatari...

ngoja niweke sawa hapa sisi Watanganyika baadhi yetu hasa watawala tunapenda kuionea zanzibar kwa mantiki zilizopinda,
1 tunaichukulia zanzibar kuwa ni nchi ndogo kwa kuwa ina jiografia ndogo,na ukweli ni kwamba ukubwa wa nchi haupimwi kwa jiografia,ingelikuwa hivyo Tanzania ingekuwa taifa kubwa kuliko uingereza,israel,sweden,qatar kutaja kwa uchache.
2 idadi ya watu:fimbo nyingine tunayowatandikia wa znz ambayo siyo ni idadi ya watu Pasco kwa kiburi cha kitanganyika anasema znz inazidiwa na Kinondoni basi kama ni hivyo sisi ni taifa kuu kuliko UAE,ISRAEL,SINGAPORE,FINLAND nk
lazima tukubali tunapoungana na nchi/taifa,tunakuwa tunaungana na taifa lenye HADHI sawa,vinginevyo kuna ulazima gani wa kuungana nalo?
 
Uchaguzi uluoharibika ni wa zanzibar unaosimamiwa za zec yaani baraza la wawakilishi, sheha na Rais wa zanzibar. Ule wa wabunge na magufuli ulikuwa Safi.
Chezea nyinyiem wewe?
Ila wapiga kura ni hao hao,kura za muungano safi za zanzibar batili
 
Wote uliowataja wana adabu na wanajua wanakaa kwenye nchi ya watu. Nyie Wazenj matusi tu kila siku kuwatukana wabara na huku ndiko mnakoponea,mtaondoka tu hamna namna na mpaka tutaufunga

Washamchokowa mavi mama yako nini? Maana hawachelewi hawa. Inawezekana kuna siku mama yako karudi kutoka Kariakoo ananuka mavi
 
Je, hali hii inauweka Muungano katika hali gani? ZEK ilipika kuku na kitimoto(nguruwe) kwenye chungu kimoja na eti wakasema wazenj wamechukua kuku na wa bara wakachukua kitimoto! kwani kuna wabunge wa bunge la muungano 50 kutoka Zanzibar eti ni halali na siyo haramu wakini wa rais wa zenj, wawakilishi na madiwani ni haramu!!! mkuu inaeleweke? au ndiyo uhuni wa siasa!............................................

SI NDIO MWISO WAKE NA WANAOUVUNJA NI VIONGOZI WA CCM YENYEWE.
EBU TUSHEE MAWAZO YENU YOTE KUHUSU HILI.[/QUOTE]
 
Tume ilidai kufutwa kwa uchaguzi wa Zanzibar hakuathiri matokeo ya muungano. Kwahiyo, wale waliokuwa wanagombea uongozi kwa ngazi ya muungano wao ni safi maana matokeo yao yanatangazwa na NEC na sio ZEC. Wale waliokuwa wanagombea kwa ngazi ya Zanzibar peke yake ndio walioathirika. Hii ni kwasababu ZEC haina mamlaka ya kufuta matokeo ya ngazi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwahiyo wabunge kutoka Zanzibar wataapishwa tu.
 
Ndoa ni jina tuu, hata muungano ni ndoa ukifuata kanuni za ndoa!. Ndoa ni muungano wa watu wawili, wenye miili miwili, kuungana pamoja na kuwa mwili mmoja!. Muungano wetu ni wa nchi zilizokuwa mbili, Tanganyika na Zanzibar, zikaungana kuunda nchi moja ya JMT. Matatizo ya Zanzibar sio matatizo ya JMT ni tatizo la sehemu moja ndogo sana ya JMT kama ukucha tuu wa kidole kidogo cha mkono wa kushoto!.

Wapiga kura wote wa Zanzibar hawafiki hata laki 500,000!, yaani hata wapiga kura wa Kinondoni tuu ni wengi kuliko Wanzanzibari wote!.Hili la Zanzibar sio kubwa kivile!, ni dogo tuu na litamalizwa ndani ya siku 90!.

Pasco

Ghibuu njoo huku
 
hio wizara itaachwa, kwani lini viongozi wa kiafrica wakafuata katiba? katiba na sheria ni kwa ajili ya kuibia wananchi wao na si kuongoza wananchi
That is very very true, kwa kuwa siyo jambo linaloingia akilini hata kidogo kwa kitendo kama kilichofanywa na Jecha cha kukurupuka na kuyafuta matokeo ya uchaguzi wa Zanzibar bila kuquote Ibara yoyote ya Katiba ya Zanzibar wala kifungu chochote kwenye Zanzibar Electoral Commission, na bado kitendo hicho cha uvunjaji wa waziwazi wa Katiba ya Zanzibar, klichofanywa na Jecha kinashabikiwa na viongozi wa CCM na kuonekana halali!
 
Kila nikifikiri kwa yalio tokea zanzibar na yanayo endelea huko sintasita kusema muungano uko mbion kuvunjika.
Kwa wale wenye kuona mbali hebu tutafakar kidogo!

SUK na katiba mpya ilipatikana baada ya mgogoro uliosababisha wakimbiz kwa mara ya kwanza visiwan humo.
Tukumbuke cuf walisusia baraza la wawakilishi, kwa wenye mtizamo wa karibu waliojua ndio mwisho wa cuf kumbe ndio mwanzo wa kudai usawa.

Kwa sasa cuf na vyama vingine hawajashiriki uchaguz, nn hatma yao na zanzibar kwa ujumla? Kwa mtizamo wangu huu ni muda wa kudai zanzibar huru! hakuna asiye jua zanzibar inatawaliwa kisiasa na Tanganyika. Shen peke yake hana ubavu wa kufanya haya yaliotokea kule zanzibar ila ni kwa mkono wa chuma kutoka bara!!
Tanganyika hatujitambui na tulishazoea kukandamizwa tangu tunaanza vyama vingi lakn kwa zanzibar walishaamka tangu 95. Yaan kungekua na tume huru wangeshinda cuf mwaka huo na chaguz zilizoendelea.

Tunaoshangilia yanayoendelea huko tukumbuke kuna watu wengi sana wamekaa kimya ila wakijiuliza kwann zanzibar iko hivi kisiasa??
nan anasababisha!?
nn suruhu yake ??

Kwa muono wangu safari iliyopita walitengeneza katiba mpya na SUK haijasaidia kuleta usawa wa kisiasa kifuatacho ni kuvunja MUUNGANO.

Jeuri hizi zinazo endelea huko zinatoka bara na bara wakifikiri ndio kulinda muungano kumbe ndio mwanzo wa Tanganyika kudai katiba mpya na Tanganyika yao wazanzibar kudai zanzibar huru!!
Nawakaribisha wenye kutafakari mbali!!
 
Tuwaachie wenye nguvu waamue. Maana wanasiasa wamesahau huwezi kulazimisha Punda kunywa maji.Na ukizidi kumpiga anakuangusha kukukanyaga either akuue au akuumize tu.Sakata la Zanzibar ni zaidi ya siasa.
 
Kwani kuna muungano?, sema tunawatawala wazanzibari kwa mabavu yaani kwa kifupi zanzibar ni koloni letu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom