nakuunga mkono kama anajua hilo basi wazanzibar wangeipinga ccm kwa nguvu zao zoote but udini kama usemavyo mkuu unawasumbua sana! Ccm ndo imedumaza maendeleo ya bara hata visiwani! Tatizo wazanzibar hawamjui adui yao.
hivi kuichagua ccm ni kuendekeza udini? Ni dini gani hiyo naomba ufafanue hapa!