Zanzibar itambulike kama nchi Jumuia ya Africa Mashariki

Rich Dad

JF-Expert Member
Dec 15, 2010
748
133
Sikubaliani na style ya sasa ya watanganyika kuwaburuta Zanzibar kwa mwavuli wa TANZANIA. Nashauri wakuu wetu wa nchi waangalie possibility ya kuipatia zanzibar hadhi ya nchi kwenye uwakilishi wa EAC.
 
Sikubaliani na style ya sasa ya watanganyika kuwaburuta Zanzibar kwa mwavuli wa TANZANIA. Nashauri wakuu wetu wa nchi waangalie possibility ya kuipatia zanzibar hadhi ya nchi kwenye uwakilishi wa EAC.


Don`t be full
x16895083.jpg
 
Sikubaliani na style ya sasa ya watanganyika kuwaburuta Zanzibar kwa mwavuli wa TANZANIA. Nashauri wakuu wetu wa nchi waangalie possibility ya kuipatia zanzibar hadhi ya nchi kwenye uwakilishi wa EAC.

" watatuwachilia tu hawa! hadhi yetu Zanzibar kitaifa n akimataifa inakuja !! Jamhuri ya Watu wa Zanzibar kwanza!"
 
The easiest way ni kuanza na Zanzibar itambulike kama dola huru ndanib ya Muungano. Baada ya hapo ndo juhudi za kumuondoa Mkoloni mweusi CCM na kutangaza dola huru ya Tanganyika zitafuatia. Upo?

Tanganyika tunajitambua dats y hatutumii muda wetu kuomba wat we have in our mind! Tukae tujenge taifa mipaka ipo tu na utaifa upo tu siku zote.
 
Naunga mkono mia kwa mia. Muungano na tanganyika umekuwa a big let down, nafuu tushirikiane moja kwa moja na progressive like minded nations kama Rwanda na Kenya.
 
Ungeweka Picha ya Nguruwe na mishkaki yake ndo ingenoga zaidi

Do not offend anyone, just go back to the thread nimetokea kuipenda lakini unataka kuleta chembe za itikadi nisiyoipenda kwa kua naipenda Tanzania.....
 
Is not my intention offending anyone, ila kuna watu wameanza kuleta chembe chembe mbaya.

Anyway, back to the topic:
Viongozi hawataki kusikia yafuatayo:-
1) Kuitisha referendum yenye maswali mawili kwa wananchi, je mnautaka kuendelea na Muungani YES or No
2) Kama jibu ni YES, Je ni Muungano wa namna gani wananchi wanautaka? Muundo wa serikali ukoje?


Do not offend anyone, just go back to the thread nimetokea kuipenda lakini unataka kuleta chembe za itikadi nisiyoipenda kwa kua naipenda Tanzania.....
 
Is not my intention offending anyone, ila kuna watu wameanza kuleta chembe chembe mbaya.

Anyway, back to the topic:
Viongozi hawataki kusikia yafuatayo:-
1) Kuitisha referendum yenye maswali mawili kwa wananchi, je mnautaka kuendelea na Muungani YES or No
2) Kama jibu ni YES, Je ni Muungano wa namna gani wananchi wanautaka? Muundo wa serikali ukoje?

There you are bro, The 1st qn will end the PROBLEMS of two sides of the same coin called MUUNGANO. Kwa maoni yangu National referendum will be more democratic with the rule of Marority (Deciding the MUUNGANO SAGA) and respect of Minoruty rights. Ki vipi?
1: Baada ya wananchi kuelimishwa kuhusu pandezote za kuunga na kupinga muungano ndipo wapige kura ya NDIYO/HAPANA.
2: Kama upande wa kuunga mkono MUUNGANO(NDIYO) utashinda basi yaainishwe masaibu ya muungano ili kulinda haki ya wachache walioupunga (MINORITY RIGHTS) na kufanyiwa marekebisho ya kudumu in a well documented deed.
3: Kama upande wa HAPANA utashinda basi isiwe shida, Zanzibar ni nchi na ina kila kitu. Wawe majirani zetu na mipaka iheshimiwe kama nchi nyingine zinazotuzunguka.
 
Back
Top Bottom