Zanzibar imemtangazia nani kwamba ina maeneo yake Bagamoyo?

Trable

JF-Expert Member
Jan 3, 2023
1,783
3,281
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?

Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu achilia mbali kufahamu, hata ile kusikia tu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,

Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?

Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?

Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?

Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
 
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?

Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,

Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?

Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?

Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?

Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Binafsi mpaka mda huu ,nimebaki nimepigwa na butwaa sana , kwamba tunadanganya sisi ni nchi moja ya jmt, kumbe yeye hatambui iyo tangu lini shamba moja kama familia mnalimiliki alafu mmoja wa wanafamilia anaibubuka kwamba nina kipande ndani ya shamba husika ambacho alikinunua, huu ni uhuni, hatukuyasikia katika awam zote zilizopiata , ila tuseme kila jambo hutokea kwa sababu,
 
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?
Tangazo ni la umma kwa wote.
Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,
Ni kutokujua tuu, ni kweli Zanzibar ina eneo lililokuwa Ranchi ya Makurunge.
Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?
Limevamiwa na wenyeji na watu wameuziwa
Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?
Sio kazi ya serikali kusema maeneo ya watu, ni jukumu la mmiliki kusema eneo lake na likivamiwa ana wajibu wa kuripoti sehemu husika ili hatua zichukuliwe.
Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?.
Iko poa tuu ni kama mtu yoyote kumiliki eneo popote. Huu ni umiliki tuu na eneo hilo ni mali ya Zanzibar, lakini sio sehemu ya Zanzibar. Ni eneo la JMT linalomilikiwa na SMZ.
Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Kwa mujibu wa historia, eneo lote la maili 10 ya Pwani yote ya Africa Mashariki lilikuwa milki ya Sultan of Zanzibar.
P
 
msilaumu muungano, walaumuni viongozi wenu.. miaka yote vinafanyika vikao vya ku-discuss kero za muungano ina maana hawa viongozi wa bara either hawakuliona hili au halikuwakera?. Mbunge wa hilo eneo ni nani?
 
Sultan alitawala 50Km kutoka pwani ya Bahari ya Hindi.
Hata hivyo sio vibaya kwa Nchi nyingine kuwekeza Nchi nyingine.
Uwekezaji ni Ardhi na Mtaji.
Lakini pia Raia wa Jamhuri ya Muungano anayo haki ya umiliki wa Ardhi ndani ya Jamhuri.
eg.Mh. MB anayedai anamiliki ardhi Morogoro.
 
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?

Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,

Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?

Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?

Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?

Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Ni upumbavu mkubwa
 
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?

Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,

Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?

Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?

Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?

Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Tutamrudisha Samia kwenu 2025 acheni ulevi.
 
Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?

Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,

Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?

Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?

Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?

Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Mbona watu mna kuwa na mihemko isiyokuwa na maana..? Sikia haya: Ubalozi wa Vatican umeonya watu wanao vamia kiwanja chao Dodoma: Kanisa Katoliki limemega eka 10 na kujenga nyumba kutoka kwenye shamba lao lenye eka elfu sita!
Bakwata imekwenda mahakamani kudai shamba lake huko Moshi: mwekezaji amepewa ekari 6000 apande ufuta! Bakharesa amemilikishwa ekari nyingi aanzishe kilimo cha miwa Bagamoyo (huko huko)! Sasa kwanini mnabagua serikali ya Mapinduzi?
 
Nchi hii Ina mambo mengi sana,huu Muungano unawanufaisha sana hawa jamaa,we nenda sasa zenji ukatafute hata 20x20 uone masheha wanavyokukimbiza,huyooo si nzawaaa,wakuja huyooo..... lakini huku wanajiachia tu
wacha uongo wewe mimi jirani yangu ni mkristo tena wa bara, unadhani hiyo ardhi alipewa na serikali?

Tena amejenga nyumba na bonge la fensi. N kama mita mia tano umbali kutoka kwangu pia wamejenga kanisa na kila jumapili wanakwenda kuimba pale.
 
Sio vibaya kujua. Tanganyika inamiliki kitu gani kule Zanzibar?
Tanganyika inaimiliki Zanzibar

Mkeo akisema mia tano iliyopo kwny suruali yako kuwa ni yake huna la kusema kwa kuwa kama Yeye mwenyewe ni wako na hata anavyomiliki ni vyako pia kupitia yeye

na kwa Taarifa tu Rais wa tatu na wa sasa wa Zanzibar ni Wazaramo wenye asili ya Mkuranga na Rais wa pili wa pili ana asili ya Lindi na Rais wa Sasa wa Tanganyika anatokea Makunduchi Unguja

Hiivyo basi wao na sisi ni …Lila na Fila …
 
Back
Top Bottom