zanzibar gizani tena

Kireka1980

JF-Expert Member
Mar 18, 2008
302
43
mm nipo zanzibar jana siku nzima hakukuwa na umeme kisiwa chote, ukarudi saa kumi na moja for two hours then ukakatika hadi this time haujarudi, kama kuna mwenye data zaidi. HII NI HATARI KIUSALAMA KISIWA CHOTE KUWA GIZANI!
 
mm nipo zanzibar jana siku nzima hakukuwa na umeme kisiwa chote, ukarudi saa kumi na moja for two hours then ukakatika hadi this time haujarudi, kama kuna mwenye data zaidi. HII NI HATARI KIUSALAMA KISIWA CHOTE KUWA GIZANI!

Kwa mujibu wa habari zilizopo; ni tatizo kama lile lililotokea huko nyuma ambapo umeme ulikosekana kwa mwezi mzima!!!

Inasemekana ile marine cable(main cable itokayo bara) imeharibika tena; watu wa ZECO(Tanesco znz) bado hawajatoa tathmini yao.
 
mh magenerator yashakuwa deal sasa, thanx God langu sikuliuza ngoja nikalifufue
 
Press Conference ya Waziri Mansoor Himid imeisha muda si mrefu; ametangaza kuwa Zanzibar itakuwa gizani kwa muda wa wiki 3 hadi hapo mafundi watakaporekebisha tatizo lililojitokeza.

Poleni sn huko visiwani, inabidi mnunue ma-generetor sasa maana habari ndio hiyo
 
mm nipo zanzibar jana siku nzima hakukuwa na umeme kisiwa chote, ukarudi saa kumi na moja for two hours then ukakatika hadi this time haujarudi, kama kuna mwenye data zaidi. HII NI HATARI KIUSALAMA KISIWA CHOTE KUWA GIZANI!
Na hapo bado kuna muungano..........!!!!!!!!!!! Tukiachana tu, tutakuwa tunaukata kwa makusudi........... Teheee tehe... hasa hasa mkichelewesha malipo ya bili
 
mm nipo zanzibar jana siku nzima hakukuwa na umeme kisiwa chote, ukarudi saa kumi na moja for two hours then ukakatika hadi this time haujarudi, kama kuna mwenye data zaidi. HII NI HATARI KIUSALAMA KISIWA CHOTE KUWA GIZANI!
kama mambo yenyewe ndio hayo inabidi zanzibar smz itafute suluhisho la umeme la kudumu kutegemea umeme wa bara watajisumbua,huku tanganyika kwenyewe hakuna umeme wa uhakika,unategemea kuazima jamvi kwa jirani yako wakati yeye jirani yako ana msiba.wazenj amkeni tafuteni suluhisho la kudumu la tatizo la umeme nyie wenyewe kama taifa huru,
 
Poleni sana... sasa wale wataalamu waliokuja kurekebisha last time,,hawakutoa guarantee!! au hiyo marine cable imebobojoka sehemu nyengine?
 
yaani hii nchi yaetu sijui inaongozwa na watu wa aina gani! wataalam walipendekeza system nzima ibadilishwe kwan sababu imechakaa na ni yakizamani, serikali ikasema ooh itachukua muda mrefu mno kuireplace irekebishwe ilipoharibika tuu. matokeo yake ndio hayo sasa.
 
Khatari kubwa. Pale Fumba kunani pale?

Inaa maana mpaka mwakani kutakuwa hakuna Umeme.
 
kama mambo yenyewe ndio hayo inabidi zanzibar smz itafute suluhisho la umeme la kudumu kutegemea umeme wa bara watajisumbua,huku tanganyika kwenyewe hakuna umeme wa uhakika,unategemea kuazima jamvi kwa jirani yako wakati yeye jirani yako ana msiba.wazenj amkeni tafuteni suluhisho la kudumu la tatizo la umeme nyie wenyewe kama taifa huru,


,,,,Hapo nilipo bold na ku italic hapo,Tatizo sio umeme wa bara haupatikani,tena kwa taarifa yako TANESCO siku zote wamekua wakiipendelea mno ZENJI,inatokea MIGAO mikalimikali huko BARA,lakini ukifika ZENJI umeme upo tena ulikua wa uhakika,Tatizo ni hiki ki kampuni kinajiita ZECO,inakuaje kampuni mama ikose spare parts muhimu ghalani???,this time around kilicho haribika sio MARINE CABLE yenyewe,ni kitu ambacho spare yake haipo katika STORE mfu za vijaa vya ZECO,na yote hii imetokana na ongezeko kubwa la matumizi wakati ma TRANSFORMER yanayotumika ni yaleyale ya miaka ileee,,,hii mijitu tusipoibadili,hakiamama vile tutaendelea kuishi kwa KUBAHATISHA kwa miaka mia ijayo,,watu kama hamuwezi si MTOKEEE!!!
 
,,,,Hapo nilipo bold na ku italic hapo,Tatizo sio umeme wa bara haupatikani,tena kwa taarifa yako TANESCO siku zote wamekua wakiipendelea mno ZENJI,inatokea MIGAO mikalimikali huko BARA,lakini ukifika ZENJI umeme upo tena ulikua wa uhakika,Tatizo ni hiki ki kampuni kinajiita ZECO,inakuaje kampuni mama ikose spare parts muhimu ghalani???,this time around kilicho haribika sio MARINE CABLE yenyewe,ni kitu ambacho spare yake haipo katika STORE mfu za vijaa vya ZECO,na yote hii imetokana na ongezeko kubwa la matumizi wakati ma TRANSFORMER yanayotumika ni yaleyale ya miaka ileee,,,hii mijitu tusipoibadili,hakiamama vile tutaendelea kuishi kwa KUBAHATISHA kwa miaka mia ijayo,,watu kama hamuwezi si MTOKEEE!!!
wazanzibar banaah kazi kila siku ooh muungano ufe !!!kumbe hawayawezi ona sasa wanavyovurunda hako sijui ka ZECO???mmmmh muungano na ufe tuu uone kama uko Zenji kutakalika hawatakawia kusema sijui wanyamwezi/wazaramo/wanyasa ili tu warejee bara.Watakula jeuri yaooooo.NA BADO !!!!
 
mm nipo zanzibar jana siku nzima hakukuwa na umeme kisiwa chote, ukarudi saa kumi na moja for two hours then ukakatika hadi this time haujarudi, kama kuna mwenye data zaidi. HII NI HATARI KIUSALAMA KISIWA CHOTE KUWA GIZANI!

Hatimaye Umeme umerudi tena jioni hii; nimeongea na mtu wangu wa karibu huko visiwani amenithibitishia hilo.

Lakini kutakuwa na muendelezo wa matengenezo kuelekea katika ufmbuzi wa kudumu wa tatizo la main cable kutoka bara. Juzi niliskia Kaimu Manager wa ZECO akisema wanatarajia kubadilisha waya wote na kazi hiyo inatarajiwa kukamilika kabla ya mwishoni mwa mwezi January.
 
Hatimaye Umeme umerudi tena jioni hii; nimeongea na mtu wangu wa karibu huko visiwani amenithibitishia hilo.

Lakini kutakuwa na muendelezo wa matengenezo kuelekea katika ufmbuzi wa kudumu wa tatizo la main cable kutoka bara. Juzi niliskia Kaimu Manager wa ZECO akisema wanatarajia kubadilisha waya wote na kazi hiyo inatarajiwa kukamilika kabla ya mwishoni mwa mwezi January.


,,,Nani kakudanganya muzee,hiyo source yako KIMEO,giza na joto limetawala haka ka NCHI,na nasikia balaa lishakua kubwa,waziri wa Nishati anapaswa kuachia ngazi sasa,maneno meeengi kuhusu MAFUTA,ilhali hata nishati hii tuliyonayo ya kuazima tu inatushinda kuitia majumbani mwetu,,Mheshimiwa acha maneno meengi,fanya kazi,na ka huwezi achia ngazi,tushachoka kukaa na giza na mikelele ya jenerators fake hizi.
 
tatizo sio umeme ...tatizi sisi wenyewe wabongo,watanganyika,wa zenji ,wapemba au kila m tz...
ccm imeshindwa kuiongoza tanzania, inataka muungano wa kulazimisha...kwahiyo inatumia muda mwingi kuwatia watanzania upumbavu na woga...wale waliosema watanzania tumelala fofo ni kweli...kamakuna mtu atanuna poa tu...sisi sio nchi ni kundi tu la wapumbavu tunaoishi tanzania...na hao wanaotuongoza ,pia wapumbavu ambao baadhia yao washahada za upumbavu. tanzania sia nchi yakuwa na tatizo la maji wala umeme....lakini hii ccm badala ya kufanya maendele inawakandamiza raia wake na kuwatia woga na upumbavu...boro kuzaliwa mbwa ulaya kuliko kuzaliwa binaadam tanzania...bull shit
 
Back
Top Bottom