Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
ufadhiri hawataki, bali huja bara kufakamia laga.Hili ni moja kati ya Kero za Muungano.WaZanzibar hawataki kilevi na wameliweka wazi kabisa hata Ufadhilli wa TBL hakuna Zanzibar. Sasa waBara mnalazimisha nini?SULUHISHO vunjeni muungano ili Zanzibar ijiunge OIC na kujifanzia mambo yake yenyewe.