Kungwi mie leo niko katika mtanziko mkubwa. Nimepata mteja jana alikuja kupata ushauri wa masuala ya mahusiano na ndoa.
Kuna mkaka ana mdada ambaye anamhudumia kwa mwaka wa pili sasa kwa lengo la kuoana. Lkn dada huyu mwenye miaka 24 tu amegoma katakata "kutoa mchezo" mpk ndoa. Hataki kumtembelea huyu mkaka nyumbani kwake na mkaka kapigwa marufuku kwenda kwa mdada (amepanga maana ni mfanyakazi).
Kitu pekee anachokifanya huyu mdada mara moja moja akiwa na nafasi ni kupika na kumtumia msosi mkaka. Na akimaliza kula mkaka anatuma vyombo vinarudi.
Wahuni na wabobezi wa hahusiano hapa JF wasiwasi na maswali ya kaka ni haya:
1. Kaokota turufu ama galasa?
2. Labda dada ana mapungufu fulani kwenye maumbile yake, sasa anataka ampige surprise baada ya kufunga ndoa ya kufa/kuzikana?
3. Huyu dada akiwa na kiu anaikataje? Usikute dada ana mtu anampooza kiu halafu kaka anagandishwa kama ice cream.
4. Kaka anatafutiwa timing aje siku moja amtupilie mbali huku yeye (kaka) kishaliwa (kagharamia) halafu dada hajaliwa (hajatoa papa) hata siku moja.
Mm kungwi hapa pamenichanganya. Naombeni mawazo/majibu ya kumpatia huyu mteja wangu.
Kuna mkaka ana mdada ambaye anamhudumia kwa mwaka wa pili sasa kwa lengo la kuoana. Lkn dada huyu mwenye miaka 24 tu amegoma katakata "kutoa mchezo" mpk ndoa. Hataki kumtembelea huyu mkaka nyumbani kwake na mkaka kapigwa marufuku kwenda kwa mdada (amepanga maana ni mfanyakazi).
Kitu pekee anachokifanya huyu mdada mara moja moja akiwa na nafasi ni kupika na kumtumia msosi mkaka. Na akimaliza kula mkaka anatuma vyombo vinarudi.
Wahuni na wabobezi wa hahusiano hapa JF wasiwasi na maswali ya kaka ni haya:
1. Kaokota turufu ama galasa?
2. Labda dada ana mapungufu fulani kwenye maumbile yake, sasa anataka ampige surprise baada ya kufunga ndoa ya kufa/kuzikana?
3. Huyu dada akiwa na kiu anaikataje? Usikute dada ana mtu anampooza kiu halafu kaka anagandishwa kama ice cream.
4. Kaka anatafutiwa timing aje siku moja amtupilie mbali huku yeye (kaka) kishaliwa (kagharamia) halafu dada hajaliwa (hajatoa papa) hata siku moja.
Mm kungwi hapa pamenichanganya. Naombeni mawazo/majibu ya kumpatia huyu mteja wangu.