Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
- Thread starter
- #21
Kibunango na kundi lako nadhani hamkuwa mna elewa nataka nini .Unajua ukiwa umejiandaa kubisha kila kitu kwa ushabiki unakuwa mpuuzi na hata huwezi kuelewa maandiko.Wale walio nielewa nawashukuru na tuendelee kukata nyeti hapa .Wengine walikuwa watoto waodogo sasa mambo haya ni historia kwao .Meghji ni mmoja wa watu walio lihujumu sana Taifa letu .Mimi najiuliza kwa nini hajawahi kusimama jimboni akaomba kura kila mara ana teuliwa na kupewa uwaziri ? Huyu mama si ndiye kwa pamoja na Ngosongwa walidai kwamba we can use a US$ bila ya matatizo badala ya shiling Bungeni ?
Bado nataka kujua zaidi kwa walio nadata zaidi .Je anaenda hivi hivi kweli wakati kaliangamiza Taifa ? Again I insist on kunyoosha rekodi .
Bado nataka kujua zaidi kwa walio nadata zaidi .Je anaenda hivi hivi kweli wakati kaliangamiza Taifa ? Again I insist on kunyoosha rekodi .