Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Jamani wkt mwingine tutumie akili kidogo. Siyo kila jambo unaletewa hapa na unskubali tu. Hivi toka lini Kmkm na Malindi walishiriki liigi ya tz bara? Ni lini African sport alikuwa bingwa? Ina maana Coastal union na Mtibwa sugar hawajawahi kuwa mabingwa wa ligi yetu?. Upuuzi mwingine msiwe mnaupost hapa maana mnajiaibisha. Kiufupi hii taarifa ni full upotoshaji.
Mimi sikutaka niongeze kitu kwenye maneno ya mtu ndio maana nikaiacha kama ilivyo.

Kwenye Comments nimetoa dokezo kuama sehemu ya masahihisho kwa kukosekana baadhi ya timu ambazo ziliwahi kuchukua ubingwa.

Tatizo la mtu kusahau haiondoi uhalisia wa hoja yote. Na bado kumbuka makala haijafika mwisho pengine hayo unayoyasema wewe kuwa hajayaandika aliweza kuja kuyaandika post zijazo.
 
Zaka za Kazi anajidhalilisha bure, takwinu ziko sahihi ila alivyo pimbi anakokotoa mabingwa kama calculus. Anachanganya mabingwa wa Bara na Muungano, atuambie ni mwaka gani Malindi ilishiriki ligi ya Bara umbwa huyu.
Zaka yupo sahihi, takwimu hazipo sahihi hizi....

yanga 29
simba 22
total 51.......

haya timu zingine zilichukua ubingwa gani?
yanga na simba wamechanganya data
 
Sasa kama sio ligi kuu mbona watu wamezipigia mahesabu kwenye trophies zao za ligi kuu?

Hakuna timu iliyojumuisha hilo kombe,So Small Simba,Mlandege nao walishachukua ubingwa wa ligi kuu (hawa walishachukua ubingwa wa Muungano)

Kombe la Muungano lilikuwa linafanyika baada ya kuisha kwa ligi ya bara na ligi ya Zanzibar ( so mabingwa wanajulikana) na ndio ilikuwa platform ya timu za bara kusajili wachezaji toka Zanzibar ,haya mashindano yalitumika kupata wawakilishi wa Tanzania kimataifa kumbuka CAF walikuwa hawaitambui Zanzibar

Statistics never lie but Liars use statistics to lie
 
Mimi sikutaka niongeze kitu kwenye maneno ya mtu ndio maana nikaiacha kama ilivyo.

Kwenye Comments nimetoa dokezo kuama sehemu ya masahihisho kwa kukosekana baadhi ya timu ambazo ziliwahi kuchukua ubingwa.

Tatizo la mtu kusahau haiondoi uhalisia wa hoja yote. Na bado kumbuka makala haijafika mwisho pengine hayo unayoyasema wewe kuwa hajayaandika aliweza kuja kuyaandika post zijazo.
Kutuambia kwamba African sport na Pamba fc zilishawahi kuwa mabingwa wa ligi yetu ya bara ni uongo mkuu. Wala binafsi sihitaji kuendelea kuona na makala zake za upotoshaji.
 
Zaka yupo sahihi, takwimu hazipo sahihi hizi....

yanga 29
simba 22
total 51.......

haya timu zingine zilichukua ubingwa gani?
yanga na simba wamechanganya data
Na sisi Simba tumekubali kuwa kweli kuna sintofahamu hapo kwenye ishu ya ubingwa.

Yanga ndio wamekuwa wabishi sijui hofu yao iko wapi?

Wanafikiri tunaweza kuwafikia na kuwapita

Wako very insecure
 
Kwanza hizo takwimu Tu zina makosa kama ulivotaja.. Tukuyu stars na mtibwa hazijaorodheshwa ina maana tayari hoja yake haijitoshelezi lakini pia Yanga na Simba zimeanza miaka ya 1930's je, hiyo miaka hakukua na ligi Hadi huo mwaka 1965?? Tuanzie hapo.. kama hakukua na ligi Sawa lakini kama zilikuepo basi zaka anataka kutupotezea muda
Zaka za kazi ni shoga
 
Hakuna timu iliyojumuisha hilo kombe,So Small Simba,Mlandege nao walishachukua ubingwa wa ligi kuu (hawa walishachukua ubingwa wa Muungano)

Kombe la Muungano lilikuwa linafanyika baada ya kuisha kwa ligi ya bara na ligi ya Zanzibar ( so mabingwa wanajulikana) na ndio ilikuwa platform ya timu za bara kusajili wachezaji toka Zanzibar ,haya mashindano yalitumika kupata wawakilishi wa Tanzania kimataifa kumbuka CAF walikuwa hawaitambui Zanzibar

Statistics never lie but Liars use statistics to lie
Hii hapa ni list ya mabingwa

Sasa nataka unihesabie miaka ambayo Yanga katwaa ubingwa halafu uniambie Yanga amechukua mara ngapi

1686784198635.png
 
Hii hapa ni list ya mabingwa

Sasa nataka unihesabie miaka ambayo Yanga katwaa ubingwa halafu uniambie Yanga amechukua mara ngapi

View attachment 2658336
Matatizo ya akili hayo.

1985 YANGA ALIKUWA BINGWA TANZANIA BARA
1986 TUKUYU STARS ALIKUWA BINGWA TANZANIA BARA.

MAJIMAJI AMECHUKUA KOMBE MARA 1 TU MWAKA 1998.

1991
1992
1993
Yanga alichukua kombe miaka yote.

Unajidharilisha we mwehu.
 
Back
Top Bottom