Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,060
- 23,941
Long time 1982/ 83 ndo jaribio lilipangwa kutekelezwa lakin kwa system ya TIS na uzalendo wa WaTz enzi hizo uliripotiwa na Dereva taxi waliyekuwa wanamtumia hivyo kukamatwa na wengne kutorokea Nairobi lakn hata hivyo walirudishwa kwa kubadilishana na waliojaribu kumpindua Moi. Eg Pte. Ochuka et al.
kweli jf ni.kisima