Zain, Tigo, TTCL Mobile, Zantel na Sasatel

me naona voda ndio wako fair, 1000 kwa week, 30,000 kwa mwezi, iko poa sana nilitumiaga zantel ya kwa mwezi ikaniishia kabla muda haujaisha , ila voda nikinunuaga ya mwezi basi ni mwezi kweli wala haiishi mpk mwezi upite, sasa hivi naendelea kutumia modem ya voda , ya zantel pia ninayo ila ipo tuu siitumii tena , labda kama kuna mtu anataka nimuuzie
 
Zantel walipoanza na service yao ya 2GB kwa wiki kwa 10,000/- ilikuwa poa sana (2.4 - 3.0Mbps) na mimi nilikuwa mteja wao wa kudumu, nikawa naweza angalia mpaka premier league online. Sasa wamepata wateja wengi sana badala ya kuongeza bandwidth, wakaacha the same, wote tunashare humo humo, hata 512 KBps haifiki ukipima (Speedtest.net - The Global Broadband Speed Test). Nimewamwaga, natumia VODA, nikiweka 10,000/- napata 400MB (60MB kwa siku), much better kuliko hiyo ya 2GB ya Zantel, ambayo kutokana na speed yao ilivyo ndogo najikuta natumia maximum ya 500MB kwa wiki (25%)
 
Zantel walipoanza na service yao ya 2GB kwa wiki kwa 10,000/- ilikuwa poa sana (2.4 - 3.0Mbps) na mimi nilikuwa mteja wao wa kudumu, nikawa naweza angalia mpaka premier league online. Sasa wamepata wateja wengi sana badala ya kuongeza bandwidth, wakaacha the same, wote tunashare humo humo, hata 512 KBps haifiki ukipima (Speedtest.net - The Global Broadband Speed Test). Nimewamwaga, natumia VODA, nikiweka 10,000/- napata 400MB (60MB kwa siku),
much better kuliko hiyo ya 2GB ya Zantel, ambayo
kutokana na speed yao ilivyo ndogo najikuta natumia
maximum ya 500MB kwa wiki (25%)

Nawezaje kuangalia ligi ya Uk?
 
Kati ya makampuni haya ni wepi wenye huduma rahisi ya mawasiliano ya internet na ya uhakika?
Nataka kuunganisha compyuta yangu na intanet, lakini matangazo yao ya biashara yananitia wazimu.




Nenda zantel kidogo kuna unafuu
 
Njia kuu za uchumi zinamilikiwa na Mafisadi unategemea nini? Watanzania mpaka tukome ubishi hakuna maendeleo hadi pale Chama Cha Majambazi kitakapokufa.
 
Duuh niponjia panda natumia voda nikiwa mikoani na sasatel Dar,
Voda kimeo, sasatel angalau,
nataka nijaribu ttcl broadband naona wengi wanaipigia chapuo, sijui imekaaje ktk kujiunga

Ukweli ni kwamba TTCL Broadband ni nzuri sana kutokana na kasi yake. However, ili kujiunga:
-Ni lazima uwe na laini ya simu ya mezani
-Na simu za mezani hazijafika kwenye maeneo mengi mapya ya jiji kwa hiyo ni kama kichekesho kwamba Ukifika Mbezi Mwisho na kuendelea mbele hakuna TTCL ya simu za mezani na kwa maana hiyo huwezi kupata Broadband Internet. This is very Funny seeing how this is the Capital City of TZ!
-Lakini pia hata ukiwa na laini ya simu ni lazima uwe within 500 metres kutoka Exchange yao ili uweze kupata Internet. (Hili la metres naomba liwe kwenye mabano hadi nitakapohakikisha vema huo umbali)
-Hii maana yake ni kwamba unaweza kuwa na laini ya simu pale Kimara ama Mbezi Mwisho lakini kama iko umbali wa zaidi ya Metres 500 huwezi kupata Internet.
-Naamini kuna wengine wenye kufahamu zaidi watachangia katika hili....


 
Lazima tukubaliane kuwa inapokuja kwenye kuwatumai hawa mobile phone operators kwa intaneti, service inatofautina kulingana na maeneo. Kuna wale wa mijini wanao uwezo wa kupata 3G (si miji yote) na hii ipo fast zaidi. Kwa maeneo mengine wanapata EDGE na speed inapungua. Zantel walipoanza walikuwa very fast (of all I think) lakini sasa wateja ni wengi na bandwidth ni ileile so sharing imesababisha speed kuwa chini kidogo. Voda wapo fast sanasana kule inapopatikana 3G (mimi ninaitumia na nipo kwneye eneo ninakopata EDGE; speed ni 236.8kbps hadi around 300 hivi). Package zao hazivutii sana na mara nyingi wana shida ya network (huku nilipo). Nafikiri Zain wana package nzuri zaidi; speed zinafanana na Voda na ziantegemea reception ya eneo.

Halafu, tunapozungumzia CHEAP, tuna maana gani? Hakuna internet service cheap nji hii. Internet is EXPENSIVE in Tanzania.
 
Ukweli ni kwamba TTCL Broadband ni nzuri sana kutokana na kasi yake. However, ili kujiunga:
-Ni lazima uwe na laini ya simu ya mezani
-Na simu za mezani hazijafika kwenye maeneo mengi mapya ya jiji kwa hiyo ni kama kichekesho kwamba Ukifika Mbezi Mwisho na kuendelea mbele hakuna TTCL ya simu za mezani na kwa maana hiyo huwezi kupata Broadband Internet. This is very Funny seeing how this is the Capital City of TZ!
-Lakini pia hata ukiwa na laini ya simu ni lazima uwe within 500 metres kutoka Exchange yao ili uweze kupata Internet. (Hili la metres naomba liwe kwenye mabano hadi nitakapohakikisha vema huo umbali)
-Hii maana yake ni kwamba unaweza kuwa na laini ya simu pale Kimara ama Mbezi Mwisho lakini kama iko umbali wa zaidi ya Metres 500 huwezi kupata Internet.
-Naamini kuna wengine wenye kufahamu zaidi watachangia katika hili....


vipi gharama zao za connection, namaanisha gharama za kuvuta waya hadi nyumbani na kuunganisha kwa pc? kama nipo jirani na nguzo zao
 
Wanajamii,
Mimi ni mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hizi za simu na nina uelewa mpana wa hizi huduma na zitolewavyo.
Kampuni kama TIGO imechelewa sana kuwa na modem zake based on internet services ila tayari wameshaweka sokoni na zinapatikana, nilibahatika kupita na kukutana na mtaalamu mmoja wa tigo katika moja ya vituo vyao vya huduma na kukuta modem zikiuzwa @ 70,000/= ambapo packages zao za internet ni kama ifuatavyo:
BB7(1-week) ni tsh:10,000/=
BB30 (1- month) ni tsh: 20,000/=
BB90 (3-months) ni tsh: 80,000/=
BB180 (6-months) ni tsh: 150,000/=
NADHANI HAWA JAMAA WA TIGO TAYARI WANAZO REASONABLE PRICES UKILINGANISHA NA NETWORKS ZINGINE NA NIMEIJARIBU IKO so friendly in using.
Ikumbukwe kwamba SASATEL are highly based on providing internet services ikiwa ndio kama their business heart na wame-invest a lot katika huduma hizi na ndio maana huwezi kuwaona wakiwa katika competitive promos kama wengine wafanyavyo, sijui hawa wapya AIRTEL wataingiaje sokoni kwa hivi sasa kama ilivyo kwa VODAFONE tangu walipochukua hatamu...lets see!!
 
mpevu, sijakupata vizuri hizo BB ni kitu gani na hizo gharama ni kwa MB ngapi au GB ngapi ili tuweze kulinganisha na tunazotumia
 
zain is fast and affordable with reliable coverage i am also using it and i have packed my zantel modem in my cupboard
 
Wanajamii,
Mimi ni mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hizi za simu na nina uelewa mpana wa hizi huduma na zitolewavyo.
Kampuni kama TIGO imechelewa sana kuwa na modem zake based on internet services ila tayari wameshaweka sokoni na zinapatikana, nilibahatika kupita na kukutana na mtaalamu mmoja wa tigo katika moja ya vituo vyao vya huduma na kukuta modem zikiuzwa @ 70,000/= ambapo packages zao za internet ni kama ifuatavyo:
BB7(1-week) ni tsh:10,000/=
BB30 (1- month) ni tsh: 20,000/=
BB90 (3-months) ni tsh: 80,000/=
BB180 (6-months) ni tsh: 150,000/=

NADHANI HAWA JAMAA WA TIGO TAYARI WANAZO REASONABLE PRICES UKILINGANISHA NA NETWORKS ZINGINE NA NIMEIJARIBU IKO so friendly in using.
Ikumbukwe kwamba SASATEL are highly based on providing internet services ikiwa ndio kama their business heart na wame-invest a lot katika huduma hizi na ndio maana huwezi kuwaona wakiwa katika competitive promos kama wengine wafanyavyo, sijui hawa wapya AIRTEL wataingiaje sokoni kwa hivi sasa kama ilivyo kwa VODAFONE tangu walipochukua hatamu...lets see!!

Mkuu, mbona unatuchanganya? modem na huduma za BIS wapi na wapi? hizo ulizotuwekea hapo juu ni huduma za Internet kwa Blackberry tu....
 
Bongo hakuna provider anayetoa huduma ya kasi,naona mmejadili sana,Bongo kila kitu kimechakachuliwa na makampuni yanayotoa huduma za internet yanawadhulumu wateja.

Hapa Ulaya nipo na Moderm yangu speed ni 54Mbps(wireless) na 100Mbps(cable),kwa mwezi nalipa 25 Euros (50,000/-).Naangalia ligi kuu ya Uingereza online kupitia ATDHE.NET

CIAO
 
Back
Top Bottom