Mziba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2010
- 245
- 109
Wazee, hii issue ya reliability is quite remarkable. I suggests we take fisibilitity study about it. We gonna sell/donate to it to the phone companies. its like nobody can answer with any kind of a backup. Customer anapouliza swali ni bora kumwambia sijui. Najua temptation ya kuuza kitu wakati mungine italeta mushkeli kwenye biashara. hii feasebility study itategemea sana na watu walioko bongo na walioko nje wajichanganya angalau on line. Thanks