Wadau,
Naombeni msaada..
Ni kipindi sasa Zain wanaendesha promotion ambapo washindi wanatakiwa kupata sh. 500,000 cash kila siku, toyota corrola na ticket ya kwenda Africa kusini kila wiki, na mwisho wa promotion mshindi atapata RAV4.
Hii promotion ni kutuma neno JIVUNIE kwenda 15656, na unauliza maswali ambapo kila swali lina point na unakatwa sh 300 na ushee per SMS..Eventually unakusanya pointi ambazo zinaingia kwenye droo ya kupata hizo rewards juu.
NINACHOULIZA DRAW YA KUPATA WASHINDI INACHEZESHWA WAPI NA SAA NGAPI? MEANING KWENYE CHOMBO KIPI CHA HABARI???...WENGI WANASHIRIKI NA HELA ZAO ZINALIWA LAKINI HAWAJUI HII PROMOTION INACHEZESHWA SAA NGAPI NA WAPI..Hawaoni si TBC, ITV, STAR TV...nk
MBAYA HATA UKICHEKI MTANDAO WA ZAIN..UNAONA MAELEZO YA HII PROMOTION NA ZAWADI. KUNA TAB YA WASHINDI/WINNERS UKICLICK TOKA TAREHE WALIYOANZA HII PROMOTION HUONI HATA JINA MOJA LA MSHINDI..
TUELEWE VIPI? HELA ZA WATU ZINALIWA KINYEMELA AMA NI VIPI?
NAOMBENI MSAADA wa kujua hii kitu inachezeshwa wapi???
Naombeni msaada..
Ni kipindi sasa Zain wanaendesha promotion ambapo washindi wanatakiwa kupata sh. 500,000 cash kila siku, toyota corrola na ticket ya kwenda Africa kusini kila wiki, na mwisho wa promotion mshindi atapata RAV4.
Hii promotion ni kutuma neno JIVUNIE kwenda 15656, na unauliza maswali ambapo kila swali lina point na unakatwa sh 300 na ushee per SMS..Eventually unakusanya pointi ambazo zinaingia kwenye droo ya kupata hizo rewards juu.
NINACHOULIZA DRAW YA KUPATA WASHINDI INACHEZESHWA WAPI NA SAA NGAPI? MEANING KWENYE CHOMBO KIPI CHA HABARI???...WENGI WANASHIRIKI NA HELA ZAO ZINALIWA LAKINI HAWAJUI HII PROMOTION INACHEZESHWA SAA NGAPI NA WAPI..Hawaoni si TBC, ITV, STAR TV...nk
MBAYA HATA UKICHEKI MTANDAO WA ZAIN..UNAONA MAELEZO YA HII PROMOTION NA ZAWADI. KUNA TAB YA WASHINDI/WINNERS UKICLICK TOKA TAREHE WALIYOANZA HII PROMOTION HUONI HATA JINA MOJA LA MSHINDI..
TUELEWE VIPI? HELA ZA WATU ZINALIWA KINYEMELA AMA NI VIPI?
NAOMBENI MSAADA wa kujua hii kitu inachezeshwa wapi???