Zaidi ya Dk. Slaa, nani mwingine ndani ya CHADEMA anafaa urais 2015?

kingxvi

JF-Expert Member
Feb 11, 2011
879
150
ebu jama naomba tujadiliane ndani ya chadema nani mwingine anafaa kugombea urais maana mh slaa umri unamtupa mkono ili tumjue tuanze kumpima sasaivi
 
kama tukimuandaa mnyika vizuri anaweza faa kuja kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu katulia na tundu lissu ni mzuri sana ila anajazba na uraisi unahitaji utulivu wa hali yajuu sana na zito kabwe ni mzuri ila ni mwepesi wa kugeuka geuaka na kuangalia maslai yake binafsi naye mkubali zaidi ni mnyika
 
Huu ni unafiki na majungu pamoja na hali ya kufilisika kifikra hivi mtoa thread amekosa jambo lolote la maana la kutaka tujadili? sioni kama kunafaida ya kumjadili nani atakua Rais mbadala wa Dr Slaa wakati hakuna hata mmoja anaejua ataishi miaka mingapi na swala la umri kumtupa pia ni unafiki na majungu hebu jiulize mzee mandela alikaa jela miaka mingapi na aliukwaa urais akiwa na miaka mingapi? pia mugabe ambae ameshupalia Urais wa zimbambwe mara ya mwisho kugombea alikuna ana umri gani? pia mpinzani wa barack uboma bwana macain alikua na umri gani wakati wa uchaguzi wa marekani? wana jf tumpe moyo Dr Slaa na kumuombea maisha marefu na sio kuanza kuleta majungu humu jamvini, nawasilisha
 
kama tukimuandaa mnyika vizuri anaweza faa kuja kuwa raisi wa nchi hii kwa sababu katulia na tundu lissu ni mzuri sana ila anajazba na uraisi unahitaji utulivu wa hali yajuu sana na zito kabwe ni mzuri ila ni mwepesi wa kugeuka geuaka na kuangalia maslai yake binafsi naye mkubali zaidi ni mnyika


Mtoto wa kijijini --------------------SILINDE
 
Its too early to suggest though, bado hamjawasikia vijana wengine ktk utendaji wao, msisahau that we have new comers in politics ok, so wait till you see for more....!! WAIT guys, you'll be suprised sooner or later!:popcorn:
 
ni unafiki na majungu pamoja na hali ya kufilisika kifikrahivi mtoa thread amekosa jambo lolote la maana la kutaka tujadili? sioni kama kunafaida ya kumjadili nani atakua Rais mbadala wa Dr Slaa wakati hakuna hata mmoja anaejua ataishi miaka mingapi na swala la umri kumtupa pia ni unafiki na majungu hebu jiulize mzee mandela alikaa jela miaka mingapi na aliukwaa urais akiwa na miaka mingapi? pia mugabe ambae ameshupalia Urais wa zimbambwe mara ya mwisho kugombea alikuna ana umri gani? pia mpinzani wa barack uboma bwana macain alikua na umri gani wakati wa uchaguzi wa marekani? wana jf tumpe moyo Dr Slaa na kumuombea maisha marefu na sio kuanza kuleta majungu humu jamvini, nawasilisha

siyo lazima ujadili .... kwani wewe ni chadema .... hujui maana ya forum wewe.... forum inatumiwa na groups mbali mbali kwa kuanzisha threads kujadili mambo yanayowakabili ..... and open to anyone .... unaruhusiwa kuanzisha thread inayohusu KAFU na wana kafu wakachangia au mtu yeyote .... wewe ni nani unakataza hii thread ... au wewe ni kamati kuu ya chadema .... ufikiri rojorojo huu
 
siyo lazima ujadili .... kwani wewe ni chadema .... hujui maana ya forum wewe.... forum inatumiwa na groups mbali mbali kwa kuanzisha threads kujadili mambo yanayowakabili ..... and open to anyone .... unaruhusiwa kuanzisha thread inayohusu KAFU na wana kafu wakachangia au mtu yeyote .... wewe ni nani unakataza hii thread ... au wewe ni kamati kuu ya chadema .... ufikiri rojorojo huu

najua sio lazima kwa mimi kuchangia lakini nilazima tunapooona upotoshwaji ni wajibu wetu kuukemea, wewe mtoa mada umetumwa na waliokutuma hawana nia njema na nchi yetu ni lazima niwe mkali kwa jambo lolote linalohusu maslahi ya nchi yangu, DR Slaa ni national symbol of changes na nilazima utambue unapomuengelea mtu huyu unawagusa wengi, kwa hiyo jaribu kua na busara na pia jaribu kufikiri kabla ya kuropoka, hunijui sikujui na iweje useme mimi ni kamati kuu ya chadema? unajua nilipo na ninafanya nini? acha majungu tunahitaji klujadili mambo ya maana na sio upuuzi wako ambao hauna mantiki wala logic. jipime mwenyewe kwanza then wapime wengine.
 
Wapo wengi sana, ila hoja yako ya kusema Dr amezeeka inaonesha wazi kwamba wewe umetumwa na mafisadi kufisadi JF. JF hatudanganyiki ngo!
 
siyo lazima ujadili .... kwani wewe ni chadema .... hujui maana ya forum wewe.... forum inatumiwa na groups mbali mbali kwa kuanzisha threads kujadili mambo yanayowakabili ..... and open to anyone .... unaruhusiwa kuanzisha thread inayohusu KAFU na wana kafu wakachangia au mtu yeyote .... wewe ni nani unakataza hii thread ... au wewe ni kamati kuu ya chadema .... ufikiri rojorojo huu

najua sio lazima kwa mimi kuchangia lakini nilazima tunapooona upotoshwaji ni wajibu wetu kuukemea, wewe mtoa mada umetumwa na waliokutuma hawana nia njema na nchi yetu ni lqazima niwe mkali kwa jambo lolote linalohusu maslahi ya nchi yangu, DR Slaa ni national symbol of changes na nilazima utambue unapomuengelea mtu huyu unawagusa wengi, kwa hiyo jaribu kua na busara na pia jaribu kufikiri kabla ya kuropoka, hunijui sikujui na iweje useme mimi ni kamati kuu ya chadema? unajua nilipo na ninafanya nini? acha majungu tunahitaji klujadili mambo ya maana na sio upuuzi wako ambao hauna mantiki wala logic. jipime mwenyewe kwanza then wapime wengine.

kwa hiyo national interest zinakuuma wewe tu .... na siyo wana chadema......kama hukuzoea challenge ....hata chadema kupata mgombea wao wa urais wanautaratibu wa kumpata kwa kushindanisha .... it is free and fair anyone to discuss here na si ku jeopardize mijadala .... naendelea kuamini kwamba ubongo wako una mrengo hasi
 
Namkubali Mnyika nadhani ni vyema akipata uzoefu mjengoni na akijiendeleza kielimu itamsaidia sana mbele ya safari.Sijui kama shujaa wangu Dr W Slaa ataweza mikimiki ya mwaka 2015 ni mapema sana kubashiri.
 
hakuna mwingine zaidi ya mbunge wangu wa arachuggahh,, LEMA Godless Jonathan.... Aende tu vizuri uko mjengoni, ajiendeleze kielimu zaidi, mwisha wa siku tumkabizi nchi,,
 
LAT, pamoja na wenzako naamini kabisa mme athirika kisaikolojia na pia mnamatatizo mengi ya kifikra thats why mnatuletea umbeya humu jamvin nina uhakika mna upeo mdogo sana wa uchambuzi na uelewa wa mambo, kama mnatambua Chadema au chama chochote cha siasa kianutaratibu wa kumpata mgombea Urais then kwanini mmekuja na mada ya kutaka tuwajidili wengine ili kutafuta mbadala wa Dr Slaa? wewe ni nani? na unataka ujue kwa maslahi ya nani? na ukishamjua utafanyeje wakati hauhusiki katika mchakato wa kumpata mgombea wa chadema? nasisitiza nyie ni wapenda majungu mmekosa kazi za kufanya na ndio maana mnatuletea uswahili wenu humu jamvini tafuten topics za maana na mada zenye maslahi ya taifa.
 
CDM kuna vichwa kibao tu vinavyo weza kuongoza nchi hii lakini top ni Mr 2, Shibuda, Selasini na Lema au kama wanataka mwanamke yupo mwenyewe Regia sijui nani(dada makini sana anjibu hoja kwa umakinisana hapa JF tena wala hakurupuki na hutoa ushahidi kwa hoja zake..)
 
siwezi kukulaumu kijana kwa maneno yako machafu maana tatizo labda kiwango chako cha elimu,thinking kapacity.maisha unayoishi, na siasa je umeanza ifuatilia lini achilia mbali upeo
 
Back
Top Bottom