Swahili_Patriot
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 231
- 413
Tukitumia evidence ya maoni ya WATANZANIA kwenye threads za Jamii forums na social platforms nyingine kama Facebook, IG nk, ni dhahiri kuwa Tanzania kama taifa, inabidi tubadilishiwe mfumo wetu wa elimu na tununue nguvu kazi kutoka nchi zilizopiga hatua kielimu waje kufundisha kwenye shule zetu. Kama mtamzania, inanouma kuona jinsi tunavyoongozwa alafu tunachukulia poa tu. Hivi kweli uwezo wetu wa kuchagua viongozi upo dhofulhali namna hii??
Cha ajabu ukijaribu kufuatilia maoni yetu kwenye pg za mitandao ya jamii ndio shiiidaaaah. Kwanini tunachukulia mzaha kuandika uharo kwenye vitu serious?? Kweli uwezo wetu wa kufikiria umeishia hivyo kirahisi rasihi namna hii?? Hivi hatuoni kwenye nchi jirani walivyo serious kwenye vitu serious??? Tutaendelea kupigwa hadi lini??
Alafu kipindi cha uchaguzi tunapewa f5 tano zilizotolana n ufisadi na tunaziuza kura zetu kirahiiisi?? Tukipigwa tunaishia kuandika pumba n jambo linapita!! Kama nchi tunahitaji wasomi, maana wasomi wetu mwenyewe vilaza. Ilimradi mtu anajua kuona n kuandika kwetu bomba tu. Taifa litauzwa hili. We zetu Kenya zaidi ya %80 za kodi zinaenda ulipa deni la taifa, na bado sisi vilaza fc. Dah, kweli ngombe waaskini hazai😭😭😭
Cha ajabu ukijaribu kufuatilia maoni yetu kwenye pg za mitandao ya jamii ndio shiiidaaaah. Kwanini tunachukulia mzaha kuandika uharo kwenye vitu serious?? Kweli uwezo wetu wa kufikiria umeishia hivyo kirahisi rasihi namna hii?? Hivi hatuoni kwenye nchi jirani walivyo serious kwenye vitu serious??? Tutaendelea kupigwa hadi lini??
Alafu kipindi cha uchaguzi tunapewa f5 tano zilizotolana n ufisadi na tunaziuza kura zetu kirahiiisi?? Tukipigwa tunaishia kuandika pumba n jambo linapita!! Kama nchi tunahitaji wasomi, maana wasomi wetu mwenyewe vilaza. Ilimradi mtu anajua kuona n kuandika kwetu bomba tu. Taifa litauzwa hili. We zetu Kenya zaidi ya %80 za kodi zinaenda ulipa deni la taifa, na bado sisi vilaza fc. Dah, kweli ngombe waaskini hazai😭😭😭